😞😞😞Uongo uongo huoo banaa
Wanaume wa dar wamegoma kuachikaShida manara hataki kuachika jamani mkiachwa muachike
Yaani hawataki kabisaWanaume wa dar wamegoma kuachika
Kwani talaka ilitolewa na muuza ubuyu aka Rushayna au Manara? Hapa hoja ameiba hela za watu arudishe tu.Shida manara hataki kuachika jamani mkiachwa muachike
Angetoa talaka zote 3 kwa nini amempa moja mkubali mkatae ndugu yenu amepatikana safari hii mkiachwa muachikeKwani talaka ilitolewa na muuza ubuyu aka Rushayna au Manara? Hapa hoja ameiba hela za watu arudishe tu.
Hakunaga talaka 3 at per katika uislamu. Ukiacha mara ya kwanza ni talaka moja, mkirudiana na mume kuacha kwa mara ya pili talaka ya pili na mkirudiana na kuachana tena kwa mara ya tatu hapo ndo talaka 3 zimetimia ambapo baada ya hapo kumrudia mke kidogo shughuli.Angetoa talaka zote 3 kwa nini amempa moja mkubali mkatae ndugu yenu amepatikana safari hii mkiachwa muachike
Akome huyoAliyekuwa mke wa manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.
Inadaiwa huo ulikuwa mpango wake wa muda tangu kuanza kuzungusha na manara wakiwa Dubai huyo mrembo wa shytown akazibeba na kufanya mchango na muhausa.
Inadaiwa kwa sasa hupo Dubai huku manara akihaha polisi wamsake kwa kutumia polisi wa kimataifa interpol ili wamrudishe bongo.
USSR
Manara hana ujanja wa kuwa na dola elfu kumi na saba ndani