Dola afu 17 manara azitoe wapiAliyekuwa mke wa Manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.
Inadaiwa huo ulikuwa mpango wake wa muda tangu kuanza kuzungusha na Manara wakiwa Dubai huyo mrembo wa Shytown akazibeba na kufanya mchango na muhausa.
Inadaiwa kwa sasa yupo Dubai huku Manara akihaha polisi wamsake kwa kutumia polisi wa kimataifa interpol ili wamrudishe bongo.
USSR
Umasikini mbaya sana. Unaona dola 17k ni nyingi au? Watu wanazoHivi ww unadhani dola elfu 17000 nisawsawa na shillingi elfu17000 ehhh!!???
Ni pesa ndogo ila kwa kuibiwa na mtu ni kubwa mno. Hata ingekuwa dola 10000 still ingekuwa kubwaMbona pesa ndogo sana hio ikufanye vipi kuhangaika kumtafuta ex wako. Kuachana ni amani
Shida ni kutotaka kuona waliotutenda kupata rahaNi pesa ndogo ila kwa kuibiwa na mtu ni kubwa mno. Hata ingekuwa dola 10000 still ingekuwa kubwa
Kwanza inabidi huyo Manara ashitakiwe kwa kuweka mafedha yote hayo ndani. Alitakiwa ayahifadhi benki.Aliyekuwa mke wa Manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.
@GENTAMYCINE unajua sana uchambuzi.Kwa udhaifu mkubwa alionao Manara kwa mujibu wa Wanawake Wengine aliowahi kuwa nao tena hata kabla hajawa Maarufu ni Mwanamke Mpumbavu na Mwendawazimu pekee ndiyo ataweza Kudumu nae Kimahusiano.
Kuhusu Yeye Kuibiwa hizo Fedha nitakuwa wa mwisho Kuamini kutokana na kwamba Manara anapenda kuishi Maisha siyo yake ( siyo ya Kiuhalisia ) ili tu kubaki Juu Kiumaarufu ila ukweli ni kwamba kwa 99% anaishi kwa Kusaidiwa na Watu ( Marafiki Matajiri ) kutoka Uarabuni hasa kwa Kaka yake Mfadhili wa Timu Moja Kubwa nchini aishiye Dubai kwa Sasa ( japo Wadogo zake Wawili wanaishi Dar es Salaam Tanzania ) kwa Malipo ya Shughuli Maalum ambayo naomba nisiitaje kwa sasa Kimaadili
Inakaribia 40m hio Kwa haraka harakaUmasikini mbaya sana. Unaona dola 17k ni nyingi au? Watu wanazo
Kwa kuwa hauna unaziona ni nyingi sana, siku ya kuzishika mkononi ndiyo utabaini kuwa 17k ni mzigo wa kawaida kabisa.Kwa manara na hata kwako unaeshinda jamii forums huwezi kuwa na usd 17000 ndani zimekaa tu. Waswahili hawana ujanja wa kutunza hela.
Hayo mambo kuna watu wengi tu wanayaweza. Ila sio Manara
Usd 17000 Hapo unaongelea milioni 40 cash. Mswahili anaanzia wapi kuwa na milioni 40 imekaa tu ndani
Ndiyo nani huyu Kiongozi?@GENTAMYCINE unajua sana uchambuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manara pesa hio angeibiwa mbona sasa hivi angekua marehemu na huyo dada angekua ananyea debe keko.Kwa mdomo wa Manara dunia nzima hadi Joe Biden wangeshajua...Labda Dollars za Zimbabwe [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Manara pesa hio angeibiwa mbona sasa hivi angekua marehemu na huyo dada angekua ananyea debe keko.Kwa mdomo wa Manara dunia nzima hadi Joe Biden wangeshajua...Labda Dollars za Zimbabwe [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]