Mke wa marehemu Atanasi wa ajali ya Korogwe amenihuzunisha sana

Mke wa marehemu Atanasi wa ajali ya Korogwe amenihuzunisha sana

Tatizo la wanaume mungu alivyootuumba tunaweza kukaa na vitu moyoni bila kumwambia mtu yoyote tena kwa mda mrefu lakini wanawake hawawezi hapo unaweza kuta hyo mzee aliyefariki uchumi uliyumba mwanamke akaanza dharau na kejeli na unyumba wakati mwingine hupewi na watoto unaambiwa kwanza hawa watoto sio wako mwanaume anaamua kupusha shari anaondoka anaaacha nyumba na watoto na hali ya sasa jinsi ilivyo mwanamke kila atakachoongea anakubaliwa na jamii sema wanaume wengi wananyanyaswa ila wakisema wanaonekana sio mashujaa.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ukweli mchungu kabisa Mzee Atanas na hata familia kwa ujumla sio watu wa kushiriki misiba ya wenzao. Kwa ndugu na jamaa hili linazungumziwa sana. .
Hata msiba ulipotokea na nilipopata taarifa kila nayempigia simu alinipa jibu hili. Hata alivyokufa bibi yangu ambaye ni Shangazi yao ambaye ni bibi yangu kabisa hawakuleta ushirikiano mzuri. Bibi kazaliwa hapo walipozika kabisa. .

Marehemu hasemwi vibaya ila msim judge mama mwacheni. .

Safari yetu ni hii moja hata sisi tutapita. .
 
Tatizo la wanaume mungu alivyootuumba tunaweza kukaa na vitu moyoni bila kumwambia mtu yoyote tena kwa mda mrefu lakini wanawake hawawezi hapo unaweza kuta hyo mzee aliyefariki uchumi uliyumba mwanamke akaanza dharau na kejeli na unyumba wakati mwingine hupewi na watoto unaambiwa kwanza hawa watoto sio wako mwanaume anaamua kupusha shari anaondoka anaaacha nyumba na watoto na hali ya sasa jinsi ilivyo mwanamke kila atakachoongea anakubaliwa na jamii sema wanaume wengi wananyanyaswa ila wakisema wanaonekana sio mashujaa.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Sad
 
Dunia tunapita, vizuri kuishi poa na ndugu, jamaa na marafiki.

Mungu ampumzishe kwa amani 🙏🏽
 
Huu ni ukweli mchungu kabisa Mzee Atanas na hata familia kwa ujumla sio watu wa kushiriki misiba ya wenzao. Kwa ndugu na jamaa hili linazungumziwa sana. .
Hata msiba ulipotokea na nilipopata taarifa kila nayempigia simu alinipa jibu hili. Hata alivyokufa bibi yangu ambaye ni Shangazi yao ambaye ni bibi yangu kabisa hawakuleta ushirikiano mzuri. Bibi kazaliwa hapo walipozika kabisa. .

Marehemu hasemwi vibaya ila msim judge mama mwacheni. .

Safari yetu ni hii moja hata sisi tutapita. .
Hivi nchi ya Tanzania ina watu mbumbumbu kiasi gani jamani? Mtu umefiwa na uchungu, unapata nguvu wapi za kuanza kuhojiwa na ''waandishi wa habari'' na kuanza kuropoka vitu vya ndani kabisa ambavyo havitakupatia faida yoyote? Kwani huwezi kukataa? Kweli ukosefu wa elimu ni janga.
 
Hivi nchi ya Tanzania ina watu mbumbumbu kiasi gani jamani? Mtu umefiwa na uchungu, unapata nguvu wapi za kuanza kuhojiwa na ''waandishi wa habari'' na kuanza kuropoka vitu vya ndani kabisa ambavyo havitakupatia faida yoyote? Kwani huwezi kukataa? Kweli ukosefu wa elimu ni janga.
Huyu ni mwanamke aliyetelekezwa na mume. Ana kidonda kikubwa sana moyoni. Miaka yote hii alijihudumia mwenyew wakati mume yuko na mwanamke mwingine. Ulitegemea atasema nini?
 
Huyu ni mwanamke aliyetelekezwa na mume. Ana kidonda kikubwa sana moyoni. Miaka yote hii alijihudumia mwenyew wakati mume yuko na mwanamke mwingine. Ulitegemea atasema nini?
Itamsaidia nini sasa anapohadithia ulimwengu mambo ya ndani ya familia yake? Unadhani familia nyingine hazina changamoto? Kuna familia zenye changamoto kuliko aliyopata huyu mama lakini hata siku moja husikii wanapayuka payuka kwa kila mtu. Haya ni mambo ya kusimulia watu wa karibu yake.
 
Hivi nchi ya Tanzania ina watu mbumbumbu kiasi gani jamani? Mtu umefiwa na uchungu, unapata nguvu wapi za kuanza kuhojiwa na ''waandishi wa habari'' na kuanza kuropoka vitu vya ndani kabisa ambavyo havitakupatia faida yoyote? Kwani huwezi kukataa? Kweli ukosefu wa elimu ni janga.
Waandishi ndio wajinga
 
Of course hawa siyo waandishi kwa maana halisi hivyo ni jukumu letu raia kujua haki zetu na kukataa kuingiliwa mpaka chumbani kwa mgongo wa kuhojiwa. Nilisikitika sana kuona majeruhi wanahojiwa wako hospital vitandani na wenyewe wanakubali tu.
Sure
 
Alinisaliti alinisaliti ndio alinifanyia usaliti mkubwa sana
 
Back
Top Bottom