Mke wa marehemu Filikunjombe agoma kwenda kwa wajane wa Makonda, adai alienda kabla na hakusaidiwa

Anataka kumfunika jokate , ile issue ya Jokate alitamani awe yeye ndio maana kaja na hili tukio kwa kipuuzi kwa kusumbua wajane

Na aliwasumbua haswa......... ingawa sasa yeye ubunifu ni zero kabisa walivyokuwa wanahangaika huko bara barani hakuna usafiri . Makonda na ndio maana Mungu akampa zawadi ya makalio makubwa ilihali ni mwanaume
 
Write your reply...wadau wanaomba picha ziongezwe,tafadhali
 
Mkuu mbona unataka afanye kazi inavyotakiwa wakati lengo lake ni usanii? Katika viongozi hovyo kabisa huyu jamaa ni namba moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…