Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Ubinafsi utakuja kukuponza mkuu. Leo yanatokea kwa hao unaowaita wa Mbowe kesho yatakurudia na hapatakuwa wa kupaza sauti kwa ajili yako. UBAYA hauna macho.
Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Ubinafsi utakuja kukuponza mkuu. Leo yanatokea kwa hao unaowaita wa Mbowe kesho yatakurudia na hapatakuwa wa kupaza sauti kwa ajili yako. UBAYA hauna macho.
Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Basi vifutwe vyama vyote ili kuepusha hayo, unawacha wazi shimo mbele kuna watoto halafu unawalaumu watoto badala ya kumlaumu alieachimba shimo na kuliacha wazi?