digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Tuko katika kipindi kigumu sana,Mungu atuvushe salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamlaumu mbowe badala ya muuwaji?Mbowe akioneshwa hela au cheo anawauza muda wowote kwa nini ukitafute kifo kisicho na ulazima?
Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Wanafata mkumbo mwishoni wanaumiza ndugu zao.Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.
Hahaha.....inabidi nichekeBdo sisimizi hawajaisha.hatari sana.mara nyng mwanamke mchawi huwa huua watoto wa wenzake sna kuliko mwanaume mchawi
Ndo maana yake. Ifika wakati tuache wapelekewe Moto tuone mwisho utakuwaje.Wanafata mkumbo mwishoni wanaumiza ndugu zao.
Anayeshika Bunduki na kuua ni nani? Achana na Mbowe we ccm lumumba fcMkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.
mi naona wala sio ccm, maana ccm wsnyewe hata siasa zimewashinda. Kuna Kundi lipo nyuma yaoCCM wanaipeleka wapi hii Nchi?!
Wanadanganywaje? Mbona vijana wa CCM hatuoni wakiuawa?Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.
Siku huo moto ukianza kupelekwa upande wenu msianze kuita watu magaidi.Ndo maana yake. Ifika wakati tuache wapelekewe Moto tuone mwisho utakuwaje.
Hii ya kuua Watu na kuingiza HOFU kwa Raia ni Survival Strategy ya Tawala nyingi zilizochokwa na Raia.mi naona wala sio ccm, maana ccm wsnyewe hata siasa zimewashinda. Kuna Kundi lipo nyuma yao
Anayeshika bunduki simjui ila ninachojua ni kwamba huyo mtekaji atawateka vijana wengi na mbowe anayewafanya hao vijana kutekwa atabaki na famili yake.Anayeshika Bunduki na kuua ni nani? Achana na Mbowe we ccm lumumba fc
Sawa endeleeni kuua nyir mtaishi miaka mileleAnayeshika bunduki simjui ila ninachojua ni kwamba huyo mtekaji atawateka vijana wengi na mbowe anayewafanya hao vijana kutekwa atabaki na famili yake.
100% perefectHii ya kuua Watu na kuingiza HOFU kwa Raia ni Survival Strategy ya Tawala nyingi zilizochokwa na Raia.
Daah nafasi tu uenyekiti kitongoji nguvu kubwa kiasi hiki kutumika?Wakuu,
Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
=========================================
Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.
Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri
View attachment 3166595
Basi hao wa chadema wahamie CCM kama hawataki kufa.Wanadanganywaje? Mbona vijana wa CCM hatuoni wakiuawa?