Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Aisee.Basi hao wa chadema wahamie CCM kama hawataki kufa.
Wapumbavu ni sehemu ya maisha. Vipi hii Dunia kusingekuwepo na wapumbavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Basi hao wa chadema wahamie CCM kama hawataki kufa.
Mi sipo mkuu. Ninachowasihii wapinzani NI kuwa siasa siyo lelemama, siasa siyo kubembelezana. Ukishaingiza kwenye ulingo wa siasa kubali kutokwa na machozi jasho na damu.Sawa endeleeni kuua nyir mtaishi miaka milele
Shida ni kwamba mmeshaaminishwa kuwa siasa ni mteremko ndiyo maana mnaivagaa bila kujiandaa.Aisee.
Wapumbavu ni sehemu ya maisha. Vipi hii Dunia kusingekuwepo na wapumbavu?
😳😳😳Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Kama akina nelson mandela, akina nyerere na wengineo enzi za ujana wao wangekuwa na mawazo haya, tungekuwa chini ya mkoloni to dateVijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Sio binadamu wale.Mimi ndiyo maana sina urafiki na mapolisi.
Hivi siasa ni za mbowe tu? The otherside hawafanyi siasa sio?Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.
Kajitoe kwa ajili ya watanzania kama unaweza.Kama akina nelson mandela, akina nyerere na wengineo enzi za ujana wao wangekuwa na mawazo haya, tungekuwa chini ya mkoloni to date
Somebody has to do it, somebody has to pay the price
Wanafanya.Hivi siasa ni za mbowe tu? The otherside hawafanyi siasa sio?
Oh nilisha jitolea sana ujana wangu, kwa sasa muda umenitupa mkono.Kajitoe kwa ajili ya watanzania kama unaweza.
Nani aliyetuaminisha? Kwa nini unadhani watanzania akili zao hazina uwezo wa utambuzi mpaka waaminishwe mambo na watu wengine.Shida ni kwamba mmeshaaminishwa kuwa siasa ni mteremko
Hapo sasa umenena mkuu. Kaulimbiu ya siasa huwa ni ubaya ubwela. Ukiwa lelemama kwenye siasa utateseka bure.Oh nilisha jitolea sana ujana wangu, kwa sasa muda umenitupa mkono.
If ningekuwa na nguvu like those days i would do it again
Tatizo la vijana wa upinzani, wanaamini ccm itatoka kwa kura, big mistake. Ccm wanacheza rafu, why na wao wasicheze rafu? Ndio language pekee wanayoelewa
So kualalmika hakusaidii
Pesa za wafadhili za demokrasia feki kulia bata viongozi na kununulia maviete mtatoa nyie?Vyama vifutwe Kama ni lazima kuuana
Darasa langu la O'level nusu ya darasa wote waliajiliwa polisi !!Tuna group la O'level nilikiwasha siku moja tukakosa wote sitaki ujingaMimi ndiyo maana sina urafiki na mapolisi.
Sijazungumzia watanzania nimewazungumzia wapinzani (chadema).Nani aliyetuaminisha? Kwa nini unadhani watanzania akili zao hazina uwezo wa utambuzi mpaka waaminishwe mambo na watu wengine.
Yaani watanzania ni mazezeta kiasi hicho?
Tunayo madiniPesa za wafadhili za demokrasia feki kulia bata viongozi na kununulia maviete mtatoa nyie?
Wakati Mwingine uchawi na hizo albadir zinatuangusha hazifanyi kazi.Pole mama. Imenisikitisha sana. Tafuta kuwavunjia vyungu tu hao wapumbavu wafe kama Kumbikumbi.
Inasikitisha sana.
Wewe Mama Samia kweli wewe ni Binadamu ? Wewe ni mama kweli ?Wakuu,
Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
=========================================
Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.
Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri
View attachment 3166595