Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

Sawa endeleeni kuua nyir mtaishi miaka milele
Mi sipo mkuu. Ninachowasihii wapinzani NI kuwa siasa siyo lelemama, siasa siyo kubembelezana. Ukishaingiza kwenye ulingo wa siasa kubali kutokwa na machozi jasho na damu.
 
Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Kama akina nelson mandela, akina nyerere na wengineo enzi za ujana wao wangekuwa na mawazo haya, tungekuwa chini ya mkoloni to date

Somebody has to do it, somebody has to pay the price
 
Kama akina nelson mandela, akina nyerere na wengineo enzi za ujana wao wangekuwa na mawazo haya, tungekuwa chini ya mkoloni to date

Somebody has to do it, somebody has to pay the price
Kajitoe kwa ajili ya watanzania kama unaweza.
 
Kajitoe kwa ajili ya watanzania kama unaweza.
Oh nilisha jitolea sana ujana wangu, kwa sasa muda umenitupa mkono.
If ningekuwa na nguvu like those days i would do it again

Tatizo la vijana wa upinzani, wanaamini ccm itatoka kwa kura, big mistake. Ccm wanacheza rafu, why na wao wasicheze rafu? Ndio language pekee wanayoelewa

So kualalmika hakusaidii
 
Oh nilisha jitolea sana ujana wangu, kwa sasa muda umenitupa mkono.
If ningekuwa na nguvu like those days i would do it again

Tatizo la vijana wa upinzani, wanaamini ccm itatoka kwa kura, big mistake. Ccm wanacheza rafu, why na wao wasicheze rafu? Ndio language pekee wanayoelewa

So kualalmika hakusaidii
Hapo sasa umenena mkuu. Kaulimbiu ya siasa huwa ni ubaya ubwela. Ukiwa lelemama kwenye siasa utateseka bure.
 
Nani aliyetuaminisha? Kwa nini unadhani watanzania akili zao hazina uwezo wa utambuzi mpaka waaminishwe mambo na watu wengine.

Yaani watanzania ni mazezeta kiasi hicho?
Sijazungumzia watanzania nimewazungumzia wapinzani (chadema).
Wanaamini siasa ni rahisi kiasi hicho ndiyo maana wakifanyiwa vitendo viovu wanalalamika na hawapati Masada wowote.
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.

Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia

Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.

Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024

=========================================

Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.

Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri

View attachment 3166595
Wewe Mama Samia kweli wewe ni Binadamu ? Wewe ni mama kweli ?
 
Back
Top Bottom