Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

Kuna tofouti ya mwanamke mchawi na mwanaume mchawi.wote wana sifa moja ila mwingine hupenda kuua watoto wa wenzake
 
Anayeshika Bunduki na kuua ni nani? Achana na Mbowe we ccm lumumba fc
Anayeshika bunduki simjui ila ninachojua ni kwamba huyo mtekaji atawateka vijana wengi na mbowe anayewafanya hao vijana kutekwa atabaki na famili yake.
 
Daah nafasi tu uenyekiti kitongoji nguvu kubwa kiasi hiki kutumika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…