GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Madini yapi we unaota 🤣Tunayo madini
Upo umeme wa kuuza nje
Tuna barabara ya Dar Zambia mpaka Congo
Tuna mbuga za wanyama
Mavieite yatanunuliwa tu
Huyo wa kwanza sawa, huyo wa pili amefanya kipi cha kishujaa cha kuweza kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya ukombozi wa nchi yake.Kama akina nelson mandela, akina nyerere na wengineo enzi za ujana wao wangekuwa na mawazo haya, tungekuwa chini ya mkoloni to date
Somebody has to do it, somebody has to pay the price
Utadhani Wanapindua Nchi kumbe ni Mwenyekiti wa mtaa tuDaah nafasi tu uenyekiti kitongoji nguvu kubwa kiasi hiki kutumika?
Nikitumia lugha ya Zitto Kabwe kuwa huu ni uzwazwa utanilaumu?Sijazungumzia watanzania nimewazungumzia wapinzani (chadema).
HahahahahhHuyo wa kwanza sawa, huyo wa pili amefanta kipi Cha kishujaa Cha kuweza kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya ukombozi wa nchi take.
Bora Mugabe na Samora.
Vipi unadhani huyo alitumika kisiasa kwa lipi mpaka akauawa?Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Kwa hiyo unatka kusema watanzania wote ni chadema siyo.Nikitumia lugha ya Zitto Kabwe kuwa huu ni uzwazwa utanilaumu?
Umetumia akili gani kuwatenganisha watanzania na CHADEMA? Imewezekanaje kwenye akili zako ukaona kuwa CHADEMA si watanzania?
Acceleration ya mlimani imeshatimu, saa hii imeanza acceleration ya kwenye mteremko. Ikiwa kuzuia gari kwenye mlima wanapata shida hivi, vipi kwa sasa ni mteremko.......?!?!?Wakuu,
Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
=========================================
Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.
Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri
View attachment 3166595
Wewe ni mpumbavu kabisa kama umeenda hujaelimika kabisa!!Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.
Kuna sehemu nimesema kuwa watanzania wote ni CHADEMA? Kilichoshangaza ni wewe kuona wanachadema siyo watanzania.Kwa hiyo unatka kusema watanzania wote ni chadema siyo.
Poa.
Una uwezo mdogo wakufikiri.Mijadala ya great thinker hutakiwi kuchangiaKuna sehemu nimesema kuwa watanzania wote ni CHADEMA? Kilichoshangaza ni wewe kuona wanachadema siyo watanzania.
Kama Lissu na Sativa mpaka sasa uchunguzi wao "haujakamilika" na hakuna mtu aliyejiuzulu unadhani kuna lolote la ku-expect hapo?Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Kama Lissu na Sativa mpaka sasa uchunguzi wao "haujakamilika" na hakuna mtu aliyejiuzulu unadhani kuna lolote la ku-expect hapo?Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Kwa ivo kusema CHADEMA si watanzania ndiyo u-great thinker wenyewe?Una uwezo mdogo wakufikiri.Mijadala ya great thinker hutakiwi kuchangia
Mtu mpumbavu ni mpumbavu tu, hakuna namna unaweza kumbadilisha.Shida ni kwamba mmeshaaminishwa kuwa siasa ni mteremko ndiyo maana mnaivagaa bila kujiandaa.
Kuitoa CCM madarakani siyo mchezo mrahisi kama kumvua mkeo chupi Bali kunahitaji kujiza, right?
Huu ni mpambano baina ya mwenye nacho na asiyenacho na siku zote mwenye nacho hayuko tayari kuacha alichonacho kwa gharama yoyote ndiyo maana nasema viongozi wa chadema wajiandae kukabiliana na magumu siyo kutegemea mteremko na hatimaye kuja kulalamika pasipo na msaada.Wewe ni mpumbavu kabisa kama umeenda hujaelimika kabisa!!
Tuambie ni Kijana yupi wa CCM aliyeuawa na Polisi kisa siasa?
Tuambie kulikuwa na maana gani kuanzisha mfumo wa vyama vingi?
Aliyeuawa alikuwa amekosea wapi?