Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anakutamani, kemea pepo LA uzinzi hilo, halijawahi kumwcha mwanadamu salama[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.
And she was excited...
Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.
Yamewahi kuyakuteni hayo!?
Kuweni muyaone wanangu.
Kwa jinsi anavyojiheshimu sidhani kama anaweza ...Huyo anakutamani, kemea pepo LA uzinzi hilo, halijawahi kumwcha mwanadamu salama[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kuna njia nyingi za kutongoza hivyo umeshatongozwa nakushauri mfanye live tu kwa kuwa mumeshaonana utupu wenuNimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.
And she was excited...
Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.
Yamewahi kuyakuteni hayo!?
Kuweni muyaone wanangu.
usisahau anaweza kukugeuza moyo wako ukaielekea dhambi shetani ana nguvu kubwa sana ya ushawishi kama huna MunguSawa....
Wacha niendelee mcheki kwanza.
Daaa nimeipenda iyooMkuu tuanzie hapa, kama mnafanya ndotoni hata marinda unaweza kufumuliwa ndotoni hii ni salama kwako. Kama ni physical kama yeye na mumewe wameukwaa anakukaribisha kwenye inner party kwa mapenzi yote. Tuletee mrejesho tafadhali.
Acha nyege mshindo dogo piga kazi we mayala woote mtaani unaparamia mke wa MTU AF wajiona shujaa...utakuja fanywa vibayaUko sahihi.. Nitakua makini...