Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
 
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
Huyo anakutamani, kemea pepo LA uzinzi hilo, halijawahi kumwcha mwanadamu salama[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tuanzie hapa, kama mnafanya ndotoni hata marinda unaweza kufumuliwa ndotoni hii ni salama kwako. Kama ni physical kama yeye na mumewe wameukwaa anakukaribisha kwenye inner party kwa mapenzi yote. Tuletee mrejesho tafadhali.
 
mh kwa hali hii inaonesha safari moja huanzisha nyingine. yote yanayotokea katika ulimwengu wa nyama yalishatokea katika ulimwengu wa roho mahali fulani. kimbia hiyo dhambi haraka
Sawa....

Wacha niendelee mcheki kwanza.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
Siku hizi kuna njia nyingi za kutongoza hivyo umeshatongozwa nakushauri mfanye live tu kwa kuwa mumeshaonana utupu wenu
 
Back
Top Bottom