Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

Na wewe umeamini kwamba amekuota?, wale dada zetu waliokuwa wanaambiwa ''usiku silali, nikinywa maji nakuona kwenye glasi'' nao wataanzisha nyuzi zao humu
 
Na wewe umeamini kwamba amekuota?, wale dada zetu waliokuwa wanaambiwa ''usiku silali, nikinywa maji nakuona kwenye glasi'' nao wataanzisha nyuzi zao humu
Sijawahi kuwa nae na utani mzito kama huu...

Kingine ni vile alivyokua akinihadithia, ilikuwa ni kweli kabisa.
 
Yaani wavulana wa siku hizi hamna makoromeo, yaani kakuambia ameota umeshindwa kuvumilia umeleta umbea mpaka huku, sasa akikupa si utaweka na kipaza sauti ulitangazie taifa zima?
 
Ni jambo LA kawaida mtu kumuota mtu anafanya nae mapenzi,wakat mwingine kwa wanawake inaweza kuwa athar ya majini mahaba nk,kukuhadithia inaweza kuwa ni kwa sababu tu ya mazoea na matani mliyonayo sio lazma awe anakutaka au anakuwaza,jibu ulilompa ni LA busara na ni vyema ukaepuka kishawishi chochote cha kumkaza Kwan madhara yake ni mengi lakin kumbuka pia ukikaza mke WA mtu na wako atakuja kukazwa tu.
 
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
nxt atakuota unabanduliwa pia ulete mrejesho!
 
Ni jambo LA kawaida mtu kumuota mtu anafanya nae mapenzi,wakat mwingine kwa wanawake inaweza kuwa athar ya majini mahaba nk,kukuhadithia inaweza kuwa ni kwa sababu tu ya mazoea na matani mliyonayo sio lazma awe anakutaka au anakuwaza,jibu ulilompa ni LA busara na ni vyema ukaepuka kishawishi chochote cha kumkaza Kwan madhara yake ni mengi lakin kumbuka pia ukikaza mke WA mtu na wako atakuja kukazwa tu.
Naichukua hii brother...

Ila ulivyomaliza hapo.. Hahahha..
 
Yaani wavulana wa siku hizi hamna makoromeo, yaani kakuambia ameota umeshindwa kuvumilia umeleta umbea mpaka huku, sasa akikupa si utaweka na kipaza sauti ulitangazie taifa zima?
Sharing experince ...

Huoni kama nimepata kitu...hata kumla siwezi tena.
 
Akili mkichwa Mkuu, bidada kasubiri umfanyie mtongozo hadi uvumilivu wake umefikia kikomo sasa imebidi yeye afanye mtongozo kupitia kwenye FAKE NDOTO. Kila la heri na baraka 😵

Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
 
Mtumie condom au mpime HIV kabla ya tukio. Hata yeye ni binadamu ana matamanio na huwezi jua nini kimemsibu, ukimuelewa tumia fursa
 
Mkuu tuanzie hapa, kama mnafanya ndotoni hata marinda unaweza kufumuliwa ndotoni hii ni salama kwako. Kama ni physical kama yeye na mumewe wameukwaa anakukaribisha kwenye inner party kwa mapenzi yote. Tuletee mrejesho tafadhali.

shikamoo dada sipati picha ungekua kidume
 
Back
Top Bottom