Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

Mke wa mtu ameniota na amenihadithia ...

Usikute mnafanya kazi zike ofisi mnazolipwa mishahara mkononi na yy ndo mtoaji wa hizo bahasha utalia kilio cha arsenal
 
Kwa jinsi anavyojiheshimu sidhani kama anaweza ...
Kama anajiheshimu hasingekusimulia aliyo ota ndotoni. Ukiona kaota hivyo ujue ni kitu alichowahi kukiwaza sana kabla. Ndoto nyingi ni marudio ya mambo uliyowahi pitia au kuyafikiria sana
 
Kwa jinsi anavyojiheshimu sidhani kama anaweza ...
Mpaka amekueleza hivyo bado unamuona anajiheshimu huyo! Amekuona domo zege kaamua ajiongeze bado wewe mbumbumbu utakuwa kavulana uongo mkuu??
 
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
Nyie ndio baadhi ya wadau wanaosaidiwa lift (gari) unataka kumlamba mke wa ntu.
Cc: LadyAJ
 
Nimefanya nae mapenzi... Niko nae ofisi moja. Ameniambia live tumefanya ndotoni. Bado nawaza kwanini kaniambia.

And she was excited...

Mimi niliamua kuzuga...nikamwambia ni majini mahaba hayo.

Yamewahi kuyakuteni hayo!?

Kuweni muyaone wanangu.
Hahaha
 
Back
Top Bottom