St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
- Thread starter
-
- #41
Hapo kwenye utanashati wala hujkosea mkuu. Na ni mcheshi mzuri sana. Ila mpaka mtu anasema kakuota tena mke wa rafiki mh. Ingekuwa miaka ile sijawa mtakatifu tungekua tunaongea mengine.Ni hivi una vitu ambavyo vimemvutia huyo mwanamke ambavyo amekosa kwa mumewe ndivyo vimemfanya akufikilie zaidi
Huwenda ukawa ni mcheshi unavaa mavazi ayapendayo kwahiyo sio ajabu wewe kumvutia yeye yote yanawezekana.
Kuhusu fumanizi mwanamke mwenye akili hawezi kukubali kudhalilika kirahisi kiasi hicho labda ungemuanza wewe na u Ms imbue kwa muda mrefu.
Mkuu wengine hatukujaliwa sura za polisi. Bahati mbaya sana unapojaribu kuongea na mtu kwa upendo wa kawaida ye anatafasiri vingine.sa we unaenda dukan then unajchekesha unategemea nn. nenda dukan fany klchokupeleka.
Mazoea, ngoja nijitafakari mkuu kama mazoea yangu na shemeji yamepitiliza..Mwanamke hawez akakurupuka tu kukuambia amekuota unamla ,punguza mazoea na mke wa mtu
uwe unaenda dukani na mpenzi wakoNajiuliza anawezaje kumwambia mumewe kuwa nimeacha kufika dukani kwao. Kwani wateja wote wanaoacha kufika anamwambia. Kwa nini iwe mimi. Wacha niwe kunguru mwoga.
Umenifumbua macho. Kiukweli kuniota sio tatizo na hajasema anachokitaka.ila nimeuliza maswali kule mwanzo kabisa kwenye post ya kwanza..Ana pepo la ngono epuka UZINZI na mke wa mtu. Kwani kukuota tatizo au kakwambia anataka nini?
Hivi inasaidia kumbe?uwe unaenda dukani na mpenzi wako
Asante sana mkuu..Hajakuota huyo ila hiyo story ya ndoto anaitumia kama gia tu ya kukuingia,
Kua makini sana,
Usihofie hiyo akiba yako tu bali hofia pia afya yako,ukimwi upo na unaendelea kuua mamilioni ya watu.
kakuona upo upo anataka aopoe kichwa dawa ya mwanamke mwanamke mwenzieUmenifumbua macho. Kiukweli kuniota sio tatizo na hajasema anachokitaka.ila nimeuliza maswali kule mwanzo kabisa kwenye post ya kwanza..
Hivi inasaidia kumbe?
ok okMkuu wengine hatukujaliwa sura za polisi. Bahati mbaya sana unapojaribu kuongea na mtu kwa upendo wa kawaida ye anatafasiri vingine.
Kwa kweliHapo kwenye kiakiba chako NAKAZIA
Kuwa makini
Tena mi nikimuota ntamfaidi kweli maana alivyo na chura..Cha kufanya na wewe muote halafu rudi kamwambie kuwa umemuota
kwa hiyo ulimuota omosexy hapo na wezere lake au?mimi sijawahi kuota zaidi ya mwanaume tena sikuwa naota tunananiii naota mengineLakini hebu wadada mtueleze. Kiukweli na nyie huwa inatokea unamuota mwanaume kama tunavoota sisi? Maana sisi tunaota na unapiga bao kabisa. Kama mimi nilishawaota amu Evelyn Salt Demiss Ulweso kapeace na wengine wengi tu.