Mke wa mtu ananipigia simu ya video usiku mumewe akiwa kalala

"Tunachokijua"
 
Civil tunaita
Double lane lou
Asiikubali angekuwa na 75 yrs ningesema jaribu bahati yako maana hata wakikufumania wanawaza pa kuanzia
 
mitandao ya simu na application mbali mbali mf What-sap imerahisisha watu kunyegeshana na hata wengine kufika juu ya mlima kilimanjaro
 
Mke wa mtu ni sumu inayomuua mumewe. Umemfuma jamaa anakula mkeo halafu unamuua. Unaenda kufungwa jela maisha halafu unamuacha mwanamke uraiani anaendelea kupigwa mashine. Hapo sijui umelinda nini
Huwezi kulinda bahari
Ni kweli, ukilinda tz watu wanavua zanzibar
 
mitandao ya simu na application mbali mbali mf What-sap imerahisisha watu kunyegeshana na hata wengine kufika juu ya mlima kilimanjaro
Kuna wale madalali waaminifu kule telegram
 
Kijana msomi na mtaalam wa mambo ya afya. Unategemewa na jamii lakini unachagua kufa kwa uasherati. Mke wa MTU msikie kwa jirani. Kifo ni kama kumsukuma mlevi. Shauri yako.
Jamani tuwe tunasoma makala kuanzia kichwa cha habari mpaka mkia wa habari!

Huyo jamaa kipindi "anamfanya" alikuwa hajaolewa na hawajawahi kurudia tena game!

Si ndivyo kasema lakini, au?

Sasa umke wa mtu hapo uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…