Mbona mnatuchanganya sasa 🤣🤣🤣NAkushauri umlee halafu hama hapo fasta ili ukiendelea kumla isiwe roho inakusuta jingine siunayule maza shida iko wapi na wale mademu uliokuwa unanihadithia kuwa wanakutaka kimapenzi na wapo single,, ?? Au wameacha kukufuatilia wewe bado mdogo unanafasi ya kufanya utakalo . Ila maisha yanaenda kuja kujitambua hapo ni 45 years old.
Acha watu wale mema ya nchiWazazi wako walipambana kukulinda umekua ukiwa na malinda safi sasa ww umeshakua mkubwa unakaribisha uharibifu wa malinda ...Mwambie ukweli achana na kujifanya mr nice utakuja kujuta..
Acha umbeya wewe kijana watu hawana shida ya kugegeda umeelewa wanalelewa na wanatunzwa kama yai na hela zenuMbona mnatuchanganya sasa 🤣🤣🤣
Anza kutembea na mafutaHabari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Mwache mwenzakonAnza kutembea na mafuta
You are not only a human but you are among the world's real human. Asipoufuata huu ushauri shauri zake. Na litakalomkuta sidhani kama ataleta mrejesho humu.Achana nae mwambie kama ndoa yake inmsunbua aondoke kwao atapata mwanaume mwingine anaeteseka anachukua hatua anataka kuchepuka Kwa kisingizio Cha mumewake
Usikubali kuteswa na mke wa mtu... Mzabue makofi asikuzoeeDah! Bado sina maamuzi ndio maana nimeomba ushauri.
Vinginevyo utapata madhara bureUsikubali kuteswa na mke wa mtu... Mzabue makofi asikuzoee
Hongera Sana.Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Tumia akili kubwa huyo mwanamke akili yake ndogo na ww ukipiga show mapenzi utayapunguza kwake kisha atakasirika na atakuwekea mtego ndipo utakaposhikwa na utatambua akili ya mwanamke ilivyo JAMAA ANAWEZA KUKUNAJISI KAMA YY HANA NGUVU ATATUMIA BODABODA WAKUWEKEE MITI KUNDULE ACHANA NAYEHabari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Thanks manKaa mbali, kimbia mpaka miguu iguse kisogo..
Nyege zitawapotezea umakini, ukidakwa jamaa anaweza hata kukuua.
Kuna clip jamaa anavuja damu kaligwa panga la shingo, kisa mke wa mtu, mwingine kakatwa kende kisa mke wa mtu.
Haina haja ya kuweka rehani uhai wako kwa raha ya sekunde.
Kaa mbali, kimbia mpaka miguu iguse kisogo..
Nyege zitawapotezea umakini, ukidakwa jamaa anaweza hata kukuua.
Kuna clip jamaa anavuja damu kaligwa panga la shingo, kisa mke wa mtu, mwingine kakatwa kende kisa mke wa mtu.
Haina haja ya kuweka rehani uhai wako kwa raha ya sekunde.
Vishu Mtata kasema ukweli hapa... Kimbia kabisa...Kaa mbali, kimbia mpaka miguu iguse kisogo..
Nyege zitawapotezea umakini, ukidakwa jamaa anaweza hata kukuua.
Kuna clip jamaa anavuja damu kaligwa panga la shingo, kisa mke wa mtu, mwingine kakatwa kende kisa mke wa mtu.
Haina haja ya kuweka rehani uhai wako kwa raha ya sekunde.