Mke wa mtu ananitesa

Nimekuambia ninadate nae..!??

UtafiRW@ na ukibaki hai shukuru, si huelewi, eti anakulazimisha, ukishafumuliwa marinda na labda hawajachukua uhai wako, ndio utapata akili, kuwa JF members waliambia hiki leo napitia, ila ukajitia ndio mario wa mapenzi, nakusihi utajuta hutaamini, hata ukiona mke wa mtu unaanza kukimbia, sbb husikii go on..!!
 
Huu ushauri umechelewa sana kuutoa coz hii story sio ya leo pimbi ww.
 
Huu ushauri umechelewa sana kuutoa coz hii story sio ya leo pimbi ww.


Si ya July 20, 2024, sasa subiri, nakushauri tembea na Jelly, utaikumbuka JF na kulia, upimbi utajua siku hiyo, ujue hicho kiburi ndio kinakufanya upate false confidence hata ya kuanzisha mahusiano na wake za watu, ila siku inakuja ya kiama, utasema kwanini lakini nimeruhusu hata kuwa na uhusiano na mke wa mtu if you will survive, go on..!!
 
Mbona umepanic sana mzee, kama ni mkeo jichunguze.
 
Naungana na wote wanaopinga maswala ya ushoga, ila huyu mtoa mada mafuta yatamusuhu soon
 
Pole sana mkuu
 
sasa yeye anajuaje kuwa wewe sio wabkimoko tu?
 
Vipi mkuu ulifanikiwa kumla au bado unamkimbia kimbia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…