Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Sijui Wana shida gani?Huwa ni mtihani hao akikuganda utatamani utupe sim mtoni
Yaan waume zao kazi wanayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui Wana shida gani?Huwa ni mtihani hao akikuganda utatamani utupe sim mtoni
Si uharibifu mjomba, yaani unajiuliza tena, ule malaya si makombo ya jalalani hayo, ule mke wa mtu, ustaarabu gani huo? Mkeo akiliwa nawewe utajisikiaje? Umtoe mtoto wa watu bikra afu umuache, kwanini umharibu mtoto wa watu?Kwa nini
HahahaSawa pole
Si uharibifu mjomba, yaani unajiuliza tena, ule malaya si makombo ya jalalani hayo, ule mke wa mtu, ustaarabu gani huo? Mkeo akiliwa nawewe utajisikiaje? Umtoe mtoto wa watu bikra afu umuache, kwanini umharibu mtoto wa watu?
IdiotMtoto kautaka kula nyama nyamaza
😁😁Hahaha
Hii tunawapa mda ukishatomba tu basiTukapenana miahadi ya kuonana next day tukaonana tukapiga stor yani tukawa na chemistry flan kwasabab stor zilikuwa zinanoga sana.
Nianze Kwa kumtetea Baltazar yule mwamba Hana makosa kabisa.
Hawa watu wanashida zao special huko kichwani aseee.
Juzi nimeenda uwanjani kuangalia game ya wanawake ligi kuu ya timu flani dhidi ya timu ya kanda ya ziwa.
Sehem nilokuwa nimekaa kulikuwa na mdada flan kwa kukadiria ni age ya 27-30 hivi. Mweupe, mwembamba kiasi mrefu.
Sasa nikaanza kupiga naye stor zikanoga huku tunachek game, watu hawakuwa wengi kivile kwahyo tulikuwa tumejitenga kivyetu.
Nikachukuwa namba baadae tulivotoka jioni kabisa nikamchek alikuwa ashanielekeza anapokaa mtaa naokaa sio mbali na mtaa wangu.
Tukapenana miahadi ya kuonana next day tukaonana tukapiga stor yani tukawa na chemistry flan kwasabab stor zilikuwa zinanoga sana.
Tuliongea mengi nikajua kwamba ana mtoto mmoja na ameolewa na jamaa flan ni mtumishi wa umma anafanyia huko bush kwahyo anakujaga weekend mara nyingi.
Bwan, mke wa mtu akaanza kutengeneza mazingira ya kunipa tunda nikamwambia shida ni kwamba wewe ni mke wa mtu kwahiyo itakuwa ngumu mimi kula mke wa mtu ni hatari sana.
Akanijibu "KULA NYAMA NYAMAZA" nilicheka sana alivonambia hii kauli asee nilifatilia mumewe ni mtu katili hana mchezo kwahiyo nilichokifanya ni kumpotezea kabisa ukizingatia nina shemej/wifi yenu nayeye pia ni dakik moja mbele anakichafua na hachagui sehemu ya kukiamsha popote pale anakuzingua kwahyo nimeamua kuwa mpole nyama siili.
Watu wengn utadhan hazimo mbona story yako inakinzana mara wew ukataka namba, enhe then akaamua kukupa tunda so namba ulichukua kwa lengo gani labda Acha uzinz, unatak tukusifie apo sioNianze Kwa kumtetea Baltazar yule mwamba Hana makosa kabisa.
Hawa watu wanashida zao special huko kichwani aseee.
Juzi nimeenda uwanjani kuangalia game ya wanawake ligi kuu ya timu flani dhidi ya timu ya kanda ya ziwa.
Sehem nilokuwa nimekaa kulikuwa na mdada flan kwa kukadiria ni age ya 27-30 hivi. Mweupe, mwembamba kiasi mrefu.
Sasa nikaanza kupiga naye stor zikanoga huku tunachek game, watu hawakuwa wengi kivile kwahyo tulikuwa tumejitenga kivyetu.
Nikachukuwa namba baadae tulivotoka jioni kabisa nikamchek alikuwa ashanielekeza anapokaa mtaa naokaa sio mbali na mtaa wangu.
Tukapenana miahadi ya kuonana next day tukaonana tukapiga stor yani tukawa na chemistry flan kwasabab stor zilikuwa zinanoga sana.
Tuliongea mengi nikajua kwamba ana mtoto mmoja na ameolewa na jamaa flan ni mtumishi wa umma anafanyia huko bush kwahyo anakujaga weekend mara nyingi.
Bwan, mke wa mtu akaanza kutengeneza mazingira ya kunipa tunda nikamwambia shida ni kwamba wewe ni mke wa mtu kwahiyo itakuwa ngumu mimi kula mke wa mtu ni hatari sana.
Akanijibu "KULA NYAMA NYAMAZA" nilicheka sana alivonambia hii kauli asee nilifatilia mumewe ni mtu katili hana mchezo kwahiyo nilichokifanya ni kumpotezea kabisa ukizingatia nina shemej/wifi yenu nayeye pia ni dakik moja mbele anakichafua na hachagui sehemu ya kukiamsha popote pale anakuzingua kwahyo nimeamua kuwa mpole nyama siili.
kwakwel umbea upunguzwe, sasa kama mtu suala la mbususu anakuja kutangaza je ukimwajiri ofcn atafaa kutunza siri za ofisi 😄Mwanamke malaya usiache kumwambia wewe ni Malaya. Unamla kisha unamwambia asante japo wewe ni malaya sababu una mume. Akipata huu ujumbe kwa kila mwanaume atazoea kuwa yeye ni Malaya.
Halafu wanaume tupunguze umbea, utoto na kutokuwa na kifua.
Hiyo kauli ya "KULA NYAMA NYAMAZA" asije akaniambia Kalpana! Aisee ataijutia maisha yake yote! Mimi huwa sitaki kabisa masihara kwenye mambo ya msingi! 😫Nianze Kwa kumtetea Baltazar yule mwamba Hana makosa kabisa.
Hawa watu wanashida zao special huko kichwani aseee.
Juzi nimeenda uwanjani kuangalia game ya wanawake ligi kuu ya timu flani dhidi ya timu ya kanda ya ziwa.
Sehem nilokuwa nimekaa kulikuwa na mdada flan kwa kukadiria ni age ya 27-30 hivi. Mweupe, mwembamba kiasi mrefu.
Sasa nikaanza kupiga naye stor zikanoga huku tunachek game, watu hawakuwa wengi kivile kwahyo tulikuwa tumejitenga kivyetu.
Nikachukuwa namba baadae tulivotoka jioni kabisa nikamchek alikuwa ashanielekeza anapokaa mtaa naokaa sio mbali na mtaa wangu.
Tukapenana miahadi ya kuonana next day tukaonana tukapiga stor yani tukawa na chemistry flan kwasabab stor zilikuwa zinanoga sana.
Tuliongea mengi nikajua kwamba ana mtoto mmoja na ameolewa na jamaa flan ni mtumishi wa umma anafanyia huko bush kwahyo anakujaga weekend mara nyingi.
Bwan, mke wa mtu akaanza kutengeneza mazingira ya kunipa tunda nikamwambia shida ni kwamba wewe ni mke wa mtu kwahiyo itakuwa ngumu mimi kula mke wa mtu ni hatari sana.
Akanijibu "KULA NYAMA NYAMAZA" nilicheka sana alivonambia hii kauli asee nilifatilia mumewe ni mtu katili hana mchezo kwahiyo nilichokifanya ni kumpotezea kabisa ukizingatia nina shemej/wifi yenu nayeye pia ni dakik moja mbele anakichafua na hachagui sehemu ya kukiamsha popote pale anakuzingua kwahyo nimeamua kuwa mpole nyama siili.
😂wametoboa Spika.
Yeah kama anafanya hizo janja janja zake awe tu makini. Watu watachimba hicho kisima chenye udongo mwingi mnoo....
Ahahahahahha aisee mtani...mimi kwanza helo neno haliwezi kuponyoka mdomoni kwa sbb hutaweza kuresist... 🤣 🤣 🤣Hiyo kauli ya "KULA NYAMA NYAMAZA" asije akaniambia Kalpana! Aisee ataijutia maisha yake yote! Mimi huwa sitaki kabisa masihara kwenye mambo ya msingi! 😫