Mke wa Mtu Sumu: Asiyesikia la Mkuu Huvunjika Guu

Hatari sana
 
Chai 🍡 ili kutisha watu. Akuna! Tutaendelea kuwabokoa na kugawa dozi kwa idadi kama watalavyokuja
Mwingine wa sampuli yako alisokomezewa kaa la moto jua lisikowaka maeneo ya buza hapo, endelea living dangerously
 
Kwa hiyo wa muuza genge ndiye anayepaswa atembelewe?

By the way,vijana wa kihuni wenyewe wana usemi wao β€œkama mke wa mtu sumu watamla na maziwa” labda zao hazijafika za kupigwa picha tuendelee kusubiri
Tusubiri πŸ˜ΉπŸ™ŒπŸΎ
 
Ni kweli mke wa mtu sumu lakini tu/walio kwenye ndoa hawatimizi wajibu wao ipasavyo.
Mfano kabla hamjaoana mlikuwa mkikutana utaandaliwa kwa kulambwa na kunyonyaa mwili wote hadi kwenye kinyeo, mwanamme anapiga round mbili hadi tatu muda huo na mwanamke naye muda huo nazungusha kiuno kama feni mbovu kilio kama mtoto mchana na kuchanua miguu kama yote style zote yumo. Chuma mboga,mbuzi kagoma kwenda, chuma matembele, popo kanyea mbingu, mama mkanye mwanao, kifo cha mende, 69, si ulitaka mwenyew n.k
Sasa ukishaingia kwenye ndoa kwanza mnajikuta kama kaka na dada mwanamme anapiga kimoja tu tena bila maandalizi mpka kesho na hata wiki mnakutana mara mbil tu huku mwanamke yeye kalala kama gogo la kuchoma mkaa. Maana hata akikufinyia kwa ndani anajua utamuacha na hamu zake.
Hakika nakwambia kuna wanawake toka waingie kwenye ndoa hawajawahi kukojozwa

Na hapa ndipo mwanamme au mwanamke akikutana na mpango wa kando akazama mazima maana kama n mwanamke kis*mi kinapigwa n ub** hatar na yeye atajitahidi kukata mauno yte hata kama umri umeenda.

USHAURI.
ili tuweze kulinda ndoa zetu ni muhimu sana makundi ya kiimani kuingilia kati kutoa elimu ya tendo la ndoa kwa wanandoa waache kutiana kwa mazoea show zipigwe kweli kweli
Pili kama unajua wewe n kijana na haujaoa nakushauri usimuoe mwanamke mnene mfupi kama unajua huwezi kumudu tendo la ndoa kila siku. Wanawake wafupi wanene wanapenda show sio mchezo
 
Ukioa au kuolewa ni muda wa vipaumbele vingine na sio ufuska, yaani mdomo huo huo unaoushusha kwenye kinyeo unataka kubusu na kukemea watoto mchana?!
Unapata kansa ya koo unasingiziwa umerogwa kumbe laana
 
Wa
Wacha uongo wewe mke wa mtu kwani kuna mme wa mbwa?
 
Ukioa au kuolewa ni muda wa vipaumbele vingine na sio ufuska, yaani mdomo huo huo unaoushusha kwenye kinyeo unataka kubusu na kukemea watoto mchana?!
Unapata kansa ya koo unasingiziwa umerogwa kumbe laana
Hiv unadhan kama ingekuwa ni vipaumbele vingine watu wangekuwa wanachepuka? Kaka katika dunia hii hakuna kitu chenye nguvu kama mapenzi. Mwanamke atapata kila kitu na utampa kila kitu kama gari,biashara na huduma zte muhimu lakini akikosa mapenz yuko radhi nusu ya huduma hizo unazompa akampa dereva boda boda anayemkunja kisawasawa.

Na kwasababu ya vipaumbele vyenu hivyo ndio maana wake zetu tunachapiwa daily
 
Mbona kuna waliotulia kwenye ndoa zao mkuu
 
Kwa haya matukio watu wanaopenda wake za watu huenda wanatafuta tiketi ya kujiingiza kwenye mambo ya jinsia moja ili wajifanye walilazimishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…