Mke wa mtu sumu, cheki kideo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mke wa mtu hafai kuna Jamaa alikuwa anakula mke wa mtu kuna siku Masai Mlinzi akamtonya mwenye mke basi ukawekwa mtego, Masai akapewa 5,000 tu akaambiwa na Jamaa akija huyo mwizi wangu nishitue asbh Jamaa anaenda zake Mishe yule mgoni kaingia kula mke wa mtu hata saa moja haijkata. Masai kamshitua Jamaa, na Jamaa baada ya kama masaa mawili kaja na zile njemba za pale Naccoz Camp kwa Bondia Mfaume Mfaume na hapo Njemba zilishakula Mguu wa Mbuzi na Safari lager za kutosha, muda ya saa Sita mwamba anatia timu home anamkuta Mwizi wa Mke wake sitting room kajifunga na taulo anasubiri anywe supu ya Kuku, Zile njemba za Naccoz Camp zilichomfanya yule Jamaa. Hii ni true story ilitokea maeneo ya Mbezi Msumi Dar.
 
Jamaa wakamla kiboga?
 
hahaha.eti na safari za kutosha
yani majamaa walijifua haswaa yani kama vile wamepata malaya anayejiuzaπŸ˜€
 
alafu mke akaachwa tu? mke angekatwa hata sikio.yani boya alifanya kama kwake
amejifunga hadi taulo na anasubiri supu apate nguvu....kmamaeee
 
kabisa! mafuta mengi ili apate raha! inatakiwa augulie maumivu akalazwe kabisa
ila mwamba akawaza vijeba kuja kumpumulia akaona yanini miee........
mwamba kawaza mazaga yakakobolewe aloo sio masihara
ujue dunian akuna kitu rahis πŸ˜†
hAta wanaoliwa zaga usifanye mchezo

Nimekumbka mwana mmoja kapinda ileile alikua anakiri jela kafirwa mara 2 ila kwa tabu. Man anasema maumiv yk bikra ya mbele ikajitafute upya. Kwa hyo yeye akiona mtu anatoa tuzi ka ujasiriamal anasema uyo mtu ni gaid usimchukulie kiwepesi ana vyeo vyake naye umuheshim kama timu zinavyoheshim mpinzamni zikienda ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…