whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
๐๐ kuna mwamba nimemsikia akasema" kwishaa"Huyo kapona kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ kuna mwamba nimemsikia akasema" kwishaa"Huyo kapona kweli?
Sidhani parefu sanaHuyo kapona kweli?
Kabisa, ila mwamba kaamua kuilinda bikira yake kwa gharama kubwa sana kaona bora hata umauti uumfike kuliko kuliwa ndogokabisa! mafuta mengi ili apate raha! inatakiwa augulie maumivu akalazwe kabisa
ila mwamba akawaza vijeba kuja kumpumulia akaona yanini miee........
Jamaa wakamla kiboga?๐๐๐๐
Mke wa mtu hafai kuna Jamaa alikuwa anakula mke wa mtu kuna siku Masai Mlinzi akamtonya mwenye mke basi ukawekwa mtego, Masai akapewa 5,000 tu akaambiwa na Jamaa akija huyo mwizi wangu nishitue asbh Jamaa anaenda zake Mishe yule mgoni kaingia kula mke wa mtu hata saa moja haijkata. Masai kamshitua Jamaa, na Jamaa baada ya kama masaa mawili kaja na zile njemba za pale Naccoz Camp kwa Bondia Mfaume Mfaume na hapo Njemba zilishakula Mguu wa Mbuzi na Safari lager za kutosha, muda ya saa Sita mwamba anatia timu home anamkuta Mwizi wa Mke wake sitting room kajifunga na taulo anasubiri anywe supu ya Kuku, Zile njemba za Naccoz Camp zilichomfanya yule Jamaa. Hii ni true story ilitokea maeneo ya Mbezi Msumi Dar.
hahaha.eti na safari za kutosha๐๐๐๐
Mke wa mtu hafai kuna Jamaa alikuwa anakula mke wa mtu kuna siku Masai Mlinzi akamtonya mwenye mke basi ukawekwa mtego, Masai akapewa 5,000 tu akaambiwa na Jamaa akija huyo mwizi wangu nishitue asbh Jamaa anaenda zake Mishe yule mgoni kaingia kula mke wa mtu hata saa moja haijkata. Masai kamshitua Jamaa, na Jamaa baada ya kama masaa mawili kaja na zile njemba za pale Naccoz Camp kwa Bondia Mfaume Mfaume na hapo Njemba zilishakula Mguu wa Mbuzi na Safari lager za kutosha, muda ya saa Sita mwamba anatia timu home anamkuta Mwizi wa Mke wake sitting room kajifunga na taulo anasubiri anywe supu ya Kuku, Zile njemba za Naccoz Camp zilichomfanya yule Jamaa. Hii ni true story ilitokea maeneo ya Mbezi Msumi Dar.
๐๐ mbona jibu lipo humohumo kakaJamaa wakamla kiboga?
We fikiria ile mijamaa ya kwenye video ya Diamond Kanyaga. Jamaa alipasuka vibaya mnooo na deki alipiga pamoja na kwamba Jamaa walikuwa wamekoroga mpaka kwenye utumbo.Jamaa wakamla kiboga?
sasa anarudi kwa baba muumba akiwa katoka kwenye mechi,hata hajaoga kutoa janaba lakeKabisa, ila mwamba kaamua kuilinda bikira yake kwa gharama kubwa sana kaona bora hata umauti uumfike kuliko kuliwa ndogo
kuna watu wanajua kukomoa bhana.duhWe fikiria ile mijamaa ya kwenye video ya Diamond Kanyaga. Jamaa alipasuka vibaya mnooo na deki alipiga pamoja na kwamba Jamaa walikuwa wamekoroga mpaka kwenye utumbo.
Jamaa itakuwa aliwaza mengi maana kuna kurekodiwa video ukiliwa ndogo au kipigo na kurekodiwa video ya fumanizi na raiaKabisa, ila mwamba kaamua kuilinda bikira yake kwa gharama kubwa sana kaona bora hata umauti uumfike kuliko kuliwa ndogo
Oyaa sio poaWe fikiria ile mijamaa ya kwenye video ya Diamond Kanyaga. Jamaa alipasuka vibaya mnooo na deki alipiga pamoja na kwamba Jamaa walikuwa wamekoroga mpaka kwenye utumbo.
Aah unaniangusha hom boyUjirushe kisa umefumaniwa? Haiingii akilini.
Huyo kajiua amechoka maisha.
Alivyokonda inaonesha kapigwa na maisha...
alafu mke akaachwa tu? mke angekatwa hata sikio.yani boya alifanya kama kwake๐๐๐๐
Mke wa mtu hafai kuna Jamaa alikuwa anakula mke wa mtu kuna siku Masai Mlinzi akamtonya mwenye mke basi ukawekwa mtego, Masai akapewa 5,000 tu akaambiwa na Jamaa akija huyo mwizi wangu nishitue asbh Jamaa anaenda zake Mishe yule mgoni kaingia kula mke wa mtu hata saa moja haijkata. Masai kamshitua Jamaa, na Jamaa baada ya kama masaa mawili kaja na zile njemba za pale Naccoz Camp kwa Bondia Mfaume Mfaume na hapo Njemba zilishakula Mguu wa Mbuzi na Safari lager za kutosha, muda ya saa Sita mwamba anatia timu home anamkuta Mwizi wa Mke wake sitting room kajifunga na taulo anasubiri anywe supu ya Kuku, Zile njemba za Naccoz Camp zilichomfanya yule Jamaa. Hii ni true story ilitokea maeneo ya Mbezi Msumi Dar.
Walimmwaga mavi wakampigisha na deki, hatari sanaWe fikiria ile mijamaa ya kwenye video ya Diamond Kanyaga. Jamaa alipasuka vibaya mnooo na deki alipiga pamoja na kwamba Jamaa walikuwa wamekoroga mpaka kwenye utumbo.
mwamba kawaza mazaga yakakobolewe aloo sio masiharakabisa! mafuta mengi ili apate raha! inatakiwa augulie maumivu akalazwe kabisa
ila mwamba akawaza vijeba kuja kumpumulia akaona yanini miee........
Jamaa boya sana, unaenda kumla mke wa mtu nyumbani kwa mumewe. Acha afukuliwe tope tu na vijebaalafu mke akaachwa tu? mke angekatwa hata sikio.yani boya alifanya kama kwake
amejifunga hadi taulo na anasubiri supu apate nguvu....kmamaeee