Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Kweli wanawake inatakiwa tuishi nao kwa akili , na imefikia wakati sasa sijui watusamehe au iwaje au sijui tugeuke mwamposa tuwaponye😅😅
Tumepanda usafiri na mke wa Mwalimu
Wakati stori zimekolea na mwenzie, akaingiza mstari ambao huu nliuskia ila hayo mengine wala sikuwa hata nayaskia.
Eti anacomplain wanawake wengine wakifua nguo za wenza wao wanakuta PESA Katika mifuko ya suruali.
Ila yeye kazoea kukuta karatasi tu za Majina ya Wapiga kelele na Vipande vya Chaki
Ila wanawake🙌😅
Tumepanda usafiri na mke wa Mwalimu
Wakati stori zimekolea na mwenzie, akaingiza mstari ambao huu nliuskia ila hayo mengine wala sikuwa hata nayaskia.
Eti anacomplain wanawake wengine wakifua nguo za wenza wao wanakuta PESA Katika mifuko ya suruali.
Ila yeye kazoea kukuta karatasi tu za Majina ya Wapiga kelele na Vipande vya Chaki
Ila wanawake🙌😅