Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Ni jinsi tuu unavyomlea mkeo ukikosea inakula Kwako na wanaume wengi ndio wanapokoseaga apo tu. Ila pesa ya mwanamke ni pesa ya familia.mnapohamasisha watu waoe wanawake wasomi au kuwapa mitaji ndio nini tena. Umaskini hautaisha kwenye familia nyingi za kiafrika . Wazungu wenzenu wanashare kutunza familia. Ndio maana Wazungu husema wanawake waafrika ni wajinga huwa hawakosei . Ni wajinga sio Kwa Hilo tuu ni mambo Mengi Mengi tuu. Na umaskini utaendelea kuwatafuna. Kumuwezesha mwanamke ilikuwa nae achangie kupunguza umaskini
Kisheria pesa ya mwanamke ni yake
 
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
ko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
i
Kauli ya 'matoto' yako imenichekesha sana mkuu!
Kasema nimesomeshwa na wazazi kwa faida yao. Basi na yeye ni mzazi wa 'hayo matoto' naye ashiriki kusomesha kwa faida yenu ya baadae.

Otherwise tafuta house boy / girl akusaidie kukuandalia nguo/viatu vya kazini. Pia panga matumizi kulingana na hela yako. Kama haitoshi buni mbinu nyingine za kutafuta hela.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mnatuweka dilemma sisi tunaofikiria kuoa, kumbe ndo kulivyo huko!!!! [emoji15]
 
Huyo yuko njia panda kabisaaaa anawaza kukuacha akifikilia ndoa yake roho inamrudi lait msinge kuwa mmefunga ndoa nw ungekuwa unalea watoto peke ako
 
1. Kama alificha makucha wakati wa unyumba bila ndoa, hapo nakubaliana na wewe, true color is now on display.


2. Mwananke by hulka hamudharau mwanaume bila kuwa amepata mwingine better of.

3. Lakini ujue, am not making assumptions without knowhow, or without having been involved in researches of the kind, social and human behavior.

Kutegemea hela ya mkeo per se katika maisha sio sahihi. Lakkini kuchangia ktk maendeleo ya familia ni lazima wala haina mjadala, kama una dada unawaambia eti kila kitu pale nyumbani ni mwanaume umechemsha sana, na dada zako hao watakuwa manungayembe tuuu with time.

4. Nikupe tena hii iwapo mkeo ataanza mchezo wa kuwa hela yake anatumia anavyotaka, ujue uko na shareware, lazima kuna buffer money hujui inatoka wapi na anatumia kwa kisingizio ni zile zake. Kama hana huo mchezo wa buffer money wala haoni shida kuweka kweupe mapato na matumizi yake ili awe evaluated kama anamatumizi mazuri au mabaya this time tomorrow when she needs additional funding.

5. Kumshauri mwanamke kuwa hela yake ni yake na anatumia anavyotaka ili hali yuko kwenye ndoa ni kumfanya mwanamke ni mjinga. Hata mwanaume hutumii hela unavyotaka ukiwa kwenye ndoa.

Hata sijaelewa hizo points zinahusiana vipi na kumuhusisha mwanamke kuwa na mwanaume mwingine!

Yapo mengi tu zaidi ya side man yanayoweza kubadili mawazo ya mwanamke

Na ndiyo maana asubuhi akawa analia kwa kujutia

Means she was driven by unknown emotions (yeye mwanamke ndiyo anajua)
 
Nadiriki kusema ndo ujinga wako ulipo!

Hupigi show za kibabe, unakimbilia kuosha masufuria jikoni eti ndo mahaba!!! Hakyanani nimetamani kukutukana!! T.mba sana huyo utaona anarejea kwenye mstari aliokuwepo. Yaani unampotezea mkeo anapotaka haki yake ya ndoa!?? Umezingua saana

Ndo waume zetu hawa
 
Hata sijaelewa hizo points zinahusiana vipi na kumuhusisha mwanamke kuwa na mwanaume mwingine!

Yapo mengi tu zaidi ya side man yanayoweza kubadili mawazo ya mwanamke

Na ndiyo maana asubuhi akawa analia kwa kujutia

Means she was driven by unknown emotions (yeye mwanamke ndiyo anajua)
Good idea Ila yote yanawezekana kwani nyie mkianza kuchepuka mnafanyaje
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
1. Labda hana uwezo wa kuhandle stress.
2. Labda kuna marafiki wenye tabia hzo au wanamhadithia simulizi kama hizo.
3. Labda kuna influence ya tabia hiyo kutoka kwa upande wa wazazi wake hasa mama yake.
4. Labda umamwachia majukumu makubwa ya kifedha ambayo yamefikia kiasi cha kumkera.
5. Labda basi amepata mtu wa nje anampa mapenzi au vitu vingine vya kibayolojia au vya kiuchumi kuliko wewe ( Hii ni dhaifu kwa sababu asingegoma kutoa ada, angekidharau tu basi).
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Unamchepuko wa kudumu??
Swali la nyongeza Umezaa naye? Tuanzie hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti umemuweka kifungoni kwa mda mreefu sana kifupi mkuu rudi kwa aliewafungisha ndoa ila sio humu jf
 
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Shauri kama hizi ndo zinafanya kuwe na wanawake jeuri kama uyo wa mtoa mada....
 
Mkuu mleta mada, katika ndoa lazima kuwa na balance. Kama wewe uko juu mke awe chini and vice verca. Hii kitu inathiri ndoa nyingi za kizazi hiki.
 
Shauri kama hizi ndo zinafanya kuwe na wanawake jeuri kama uyo wa mtoa mada....
Hahahahahaha mke kusema pesa zake zinamuhusu yeye sio ujeuri haki yake......hayo mengine mi sijui
 
Hizo zipo mzee baba anahasira za sikukuu tu si unajua wanawake.

Hapo unabaki kimya akianza unakaa kimya analalamika weee hadi hasira zinakwisha. January mwishoni atarudi vizuri.

January wewe panga mipango kama ilivyozoeleka siku zote.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
The truth is uyo mwanamke kuna uwezekano mkubwa ana kijamaa nje, na chenyewe kina weaknesses na strength zake. Kuna muda anakuwa anajuamini kwa kuwa anaona ana back up lkn akiwaza kwa undani anaona back up yenyewe magumashi ndio mana anaomba msamaha.
 
Back
Top Bottom