Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Nimejitahidi kuwa msomaji tu nimeshindwa! Naomba nikuulize, kama kweli alisomeshwa na wazazi wake hivyo hela yake ni kujali wazazi wake, je mume alisomeshwa na nani? Je, yeye hana haki ya kuwahudumia wazazi wake?
 
1.Iombee ndoa yako, muombee mke wako. Ndoa ni kitu kizuri na shetani uwa anakipiga kwa namna mbalimbali. Kiufupi ndoa ya Kikristo yahitaji maombi kweli kweli kinyume na hapo mambo yanakuwa magumu mno.

2. Wanawake wanahitaji sana msaada wa kufikiri kwa usahii. Mara nyingi wakisikia na kuona kwa marafiki wana copy na Ku paste. Kazi ni kwako kupiga marufuku aina ya fikra na mitizamo ambayo haikuwepo awali na ni negative. Na hapa unahitaji akili nyingi kutofautisha Kati ya fikra zake mwenyewe na zile zakushikiziwa ili hatimaye umsaidie kuzifuta hizo za nje ya ndoa.
NB: Tumeagizwa kuishi nao kwa akili so turn on your brain.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nimejitahidi kuwa msomaji tu nimeshindwa! Naomba nikuulize, kama kweli alisomeshwa na wazazi wake hivyo hela yake ni kujali wazazi wake, je mume alisomeshwa na nani? Je, yeye hana haki ya kuwahudumia wazazi wake?
Mwanaume ni kichwa cha familia..........anzia hapo
 
Tayari.,..umepata wasaidizi wa kula papuchi wanaojua kudanganya....beware..... There z more to come
 
Pole sana kaka..haya mambo kwenye ndoa yapogo sana tu..
Mosi mkeo humridhishi kwakila.kitu.unamchukulia poa poa tu😏
Pili amepata wa kumshika sikio
Tatu..ameanza kuchepuka (huu ni ukweli zaidi) na huyo sio mzoefu wa kuchepuka ndo kaanza..mwqnamke mzoefu kuchepuka anazidishaga mapenzi ndani...aso mzoefu huwa bi bora liende...ss km ww ni kidume kweli jitahd kumrudisha kwenye mstari kabla haijawa worse zaidi😊😊...akizoea kuchepuka imetoka hyo..
Jingine... punguza gubu una vitu vingine bas mwambie ht dada wa kazi...inaezekana uliongea kwa nguv had wagen wkqsikia...nan anapenda kuumbuliwa hvyo...

La mwisho aisee hongera..unamsaidia mkeo kazi??jaman jaman jaman...sie wengi ht handkerchief hawafui😏😏..ww acha kumsaidia kaz as amesema mwenyew...!
la mwisho usitegemee hela ya mkeo..ila ina bahati.sana...wengine hapa tumegawana majukumu pasu kwa pasu...
UMENIVURUGA😣😣
Umetuliza hasira zangu baada ya kujadiliana na zeshchriss. Thanks
 
Then yeye kwa kinywa chake kaniambia sasa ameelimika wanawake wenzie wamemwambia pesa yao na ya mime in anga na mbingu yaani pesa ya mke in mke na mume ni ya familia KANIAMBIA KATIKATI YA MGOGORO


Naelewa sana kapata mashoga...kazi kweli kweli alafu sie wanawake wepesi sana kuchange..teba ukichange unakuwa na sumu km nyoka...hatari tupu... kaa kimya usipigizane naye kelele tena..jitahid uwe na vimirad vyako vikuboost ukiwa na shida...Ila ww Mungu ww!
 
Mkuu, Penzi ni kitu hai, linazariwa, linakuwa na linakufa, la kwako linaelekea kufa! fanya jitihada uiokoe ndoa si unakakumbuka kale ka swali kanisani " kuishi kwa shida na raha"
 
Naelewa sana kapata mashoga...kazi kweli kweli alafu sie wanawake wepesi sana kuchange..teba ukichange unakuwa na sumu km nyoka...hatari tupu... kaa kimya usipigizane naye kelele tena..jitahid uwe na vimirad vyako vikuboost ukiwa na shida...Ila ww Mungu ww!

Huyu jamaa bwana
Wangu nikianzaga kubwabwaja ananivuta chumbani

Anapiga show alafu katikati anakuuliza ulikua unasemaje?
Nabaki naomba msamaha tu!
 
Huyu jamaa bwana
Wangu nikianzaga kubwabwaja ananivuta chumbani

Anapiga show alafu katikati anakuuliza ulikua unasemaje?
Nabaki naomba msamaha tu!

😂😂😂😂😂😂😂😂.. nyie km vitoto vya form 6🙊🙈... mie sipendi kelele... in anymeans mie aipend kbs makelele ila.siku nikiamuaga kusema anawekaga mkono.km.mic hvz narap weee namaliza..ila kubwabwaja siwez..ila huwa nataman mie ningekuwa na nguvu za kupigana..kila week ningekuwa namfumua sana sana
 
Oa mwingine acha uboya wewe,hawa viumbe ukimuolea bi mdogo ndo akili zinawakaaa vyema!
 
Kila mtu aki amua ku act ivo ndoa ina kwenda kuvunjika... sasa kama ata maji najipelekea bafuni mwenyewe.. nakua nime muoa kwa ajili gani? Au kunizalia watoto tu?
Wewe ulishawahi kumpelekea maji bafuni mkuu? Au kazi yake ni kupeleka maji bafuni?
 
Back
Top Bottom