Pole sana kaka..haya mambo kwenye ndoa yapogo sana tu..
Mosi mkeo humridhishi kwakila.kitu.unamchukulia poa poa tu😏
Pili amepata wa kumshika sikio
Tatu..ameanza kuchepuka (huu ni ukweli zaidi) na huyo sio mzoefu wa kuchepuka ndo kaanza..mwqnamke mzoefu kuchepuka anazidishaga mapenzi ndani...aso mzoefu huwa bi bora liende...ss km ww ni kidume kweli jitahd kumrudisha kwenye mstari kabla haijawa worse zaidi😊😊...akizoea kuchepuka imetoka hyo..
Jingine... punguza gubu una vitu vingine bas mwambie ht dada wa kazi...inaezekana uliongea kwa nguv had wagen wkqsikia...nan anapenda kuumbuliwa hvyo...
La mwisho aisee hongera..unamsaidia mkeo kazi??jaman jaman jaman...sie wengi ht handkerchief hawafui😏😏..ww acha kumsaidia kaz as amesema mwenyew...!
la mwisho usitegemee hela ya mkeo..ila ina bahati.sana...wengine hapa tumegawana majukumu pasu kwa pasu...
UMENIVURUGA😣😣