Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Siku hizi wanaume wanataka haki sawa na wanawake

Nawachek nasema hihihiii
Naamini hakuna mwanaume anataka haki Sawa ila kusema umesomeshwa na wazazi wako nani hakusomeshwa na wazazi wake? Acheni ubinafsi na ukute Anatoa hela kwa michepuko ila anasingizia wazazi
 
Naamini hakuna mwanaume anataka haki Sawa ila kusema umesomeshwa na wazazi wako nani hakusomeshwa na wazazi wake? Acheni ubinafsi na ukute Anatoa hela kwa michepuko ila anasingizia wazazi

Punguzeni kujilinganisha na wanawake
Mtaishi kwa Amani

Unakuta mwanamke anaongea mwanaume nae anachambana na mkewe

Kila pesa ya mwanamke unaitamani na kuipangia matumizi halafu unajiita mume
Hapo naona ni ndoa ya wake wawili
 
Punguzeni kujilinganisha na wanawake
Mtaishi kwa Amani

Unakuta mwanamke anaongea mwanaume nae anachambana na mkewe

Kila pesa ya mwanamke unaitamani na kuipangia matumizi halafu unajiita mume
Hapo naona ni ndoa ya wake wawili
Nikupe uhalisia katika ndoa yangu! Hela ya mke wangu ni kwa matumizi ya sasa na ya kwangu ni kwa ajili ya development tu! Hata simu namnunulia ila chakula, mavazi ya familia including me juu yake! Likija suala la kujenga, hata kutengeneza gari lake ni juu yangu. Siamini naweza kuulizwa hela ya kitunguu! Kuhusu kufua nguo na kupika ni jukumu lake! Sijui anapata mshahara kiasi gani? Na mimi hajui napata nini kutokana na kusukuma mkokoteni stendi ya ubungo. School fees juu yangu! Kuna mgawanyo wa majukumu ila hawezi sema ujinga kuwa amesomeshwa na wazazi wake kwa ajili ya kuhudumia wazazi wake!!! Siku hiyo ntamweleza wakamuoe wao basi! Hata mie nilisomeshwa na wazazi wangu pia
 
Una uhakika? Kichwa cha familia ni wake zetu hasa wachagga
Wanaume ndio vichwa bwana...hata huko uchagani wanawake wengi japo ndiyo watafutaji ila Kama mwanaume anajielewa ataply part yake... Ila wengine naonaga wanaamua kusurrender power kwa wake zao maana unakuta mke ndiye anafight for the family economy wakati mwanaume yupo yupo tu
 
Wanaume ndio vichwa bwana...hata huko uchagani wanawake wengi japo ndiyo watafutaji ila Kama mwanaume anajielewa ataply part yake... Ila wengine naonaga wanaamua kusurrender power kwa wake zao maana unakuta mke ndiye anafight for the family economy wakati mwanaume yupo yupo tu
Wewe ni mchagga?
 
Nikupe uhalisia katika ndoa yangu! Hela ya mke wangu ni kwa matumizi ya sasa na ya kwangu ni kwa ajili ya development tu! Hata simu namnunulia ila chakula, mavazi ya familia including me juu yake! Likija suala la kujenga, hata kutengeneza gari lake ni juu yangu. Siamini naweza kuulizwa hela ya kitunguu! Kuhusu kufua nguo na kupika ni jukumu lake! Sijui anapata mshahara kiasi gani? Na mimi hajui napata nini kutokana na kusukuma mkokoteni stendi ya ubungo. School fees juu yangu! Kuna mgawanyo wa majukumu ila hawezi sema ujinga kuwa amesomeshwa na wazazi wake kwa ajili ya kuhudumia wazazi wake!!! Siku hiyo ntamweleza wakamuoe wao basi! Hata mie nilisomeshwa na wazazi wangu pia
Pambaneni na maisha yenu

Ila wanaume mpunguze kushindana na wanawake
 
Barikiwa ila msome kuwa nimesomeshwa na wazazi wangu ni wa kipuuzi na mawazo finyu

Hilo ni wazo lako

Unapojisifu kutumia pesa ya mke kuna mwanaume huko hagusani na hela ya mkewe

In short yupo full responsible

Pengine nae akisoma hapo atakushangaa!

Ujanja kwako ujinga kwa mwingine
 
Barikiwa ila msome kuwa nimesomeshwa na wazazi wangu ni wa kipuuzi na mawazo finyu
Kuna mwanaume mwenzenu alikuwa anawashauri kwamba mkitakaa wake zenu wawaheshimu na mjiite kichwa cha familia basi msigawane majukumu yà familia na wake zenu..otherwise mkubaliane na hali maana kama wote mnachangia uchumi wa familia kwa 50% na majukumu mnagawana kwa 59% basi ukubali pia kugawana naye madaraka 50%
 
Najua wachagga Wa kiume huwa wanawatumia dada zao kama kitega uchumi ingawa wanakuwa kama muwa wakiwhawapa baba zao au kaka zao fedha toka kwa waume au washikaji wao wanawakatema kama maganda. Kombakyaru ni unyama
Mmh Hii ya uongo.. me sijawahi ona wanaume wa kichaga wakifanya hivo ila nachojua ni kwamba ukimuoa Dada yao ukamnyanyasa utajuta.
 
Mkuu mimi sina cha kukushauri , nimepata elimu tu kutoka kwenye comments za member
 
Mkuu mimi sina cha kukushauri , nimepata elimu tu kutoka kwenye comments za member
 
Nikupe uhalisia katika ndoa yangu! Hela ya mke wangu ni kwa matumizi ya sasa na ya kwangu ni kwa ajili ya development tu! Hata simu namnunulia ila chakula, mavazi ya familia including me juu yake! Likija suala la kujenga, hata kutengeneza gari lake ni juu yangu. Siamini naweza kuulizwa hela ya kitunguu! Kuhusu kufua nguo na kupika ni jukumu lake! Sijui anapata mshahara kiasi gani? Na mimi hajui napata nini kutokana na kusukuma mkokoteni stendi ya ubungo. School fees juu yangu! Kuna mgawanyo wa majukumu ila hawezi sema ujinga kuwa amesomeshwa na wazazi wake kwa ajili ya kuhudumia wazazi wake!!! Siku hiyo ntamweleza wakamuoe wao basi! Hata mie nilisomeshwa na wazazi wangu pia
Kwa nn kupika na kufua iwe juu yake nasiyo juu yenu wote?..kwa nn msishirikiane maana hata majukumu ya kujenga familia mmegawana pia
 
Ni ujinga kufikiri wewe mwanamke umesomeshwa ili ukahudumie wazazi wako! Je mwanaume siyo binadamu? Kama wewe umesomeshwa na wazazi wako uwahudumie na mwanaume amesomeshwa na wazazi wake ahudumie wazazi wake! Kwa mantiki hiyo nani atahudumia familia yao? Michepuko?

Nikueleze mzazi lazima asomeshe watoto alowazaa kwa raha zake ( mwanamke wazazi wake na mwanaume wake pia). Hivyo wewe na mwanaume wako ni jukumu lenu kuhudumia watoto wenu ambao kwa raha zenu mmewaleta duniani! Jukumu lenu si kuhudumia wazazi ila watoto wenu! Ni mwanamke mpuuzi kama zenc anayeona kazi yake kuhudumia wazazi baadala ya watoto wake aliochekecha kiuno kuwazaa
Kwa style hii mke akitaka haki sawa wala usilalsmike maana hamtakuwa na tofauti
 
Nafikiri tatizo lenu liko kwenye pesa. Mwanaume unatakiwa kujua majukumu ya kulea familia, kama ada, chakula, kujenga nyumba, kununua magari, mafuta ya magari yooote ni ya kwako.

Kamwe hutakiwi kutegemea mwanamke au kuulizia kipato cha mwanamke. Fedha za mwanamke ni kwa ajili yake na familia yake lakini pia ukiwa unatimiza majikumu yako ata kusupport mwenyewe bila kumuomba katika viti kama mavazi ya watoto, mapambo ya ndani, nguo zenu n.k. Hayo yote anatakiwa afanye kwa kujisikia siyo kulazimishwa.

Mnapokosea nyie vijana wa siku hizi ni kutafuta mke mwenye kazi halafu mnamtegemea atimize majukumu ya nyumbani. Hapo amesha kuchoka kwamba unamtegemea yeye.

Ndo maana wanasema mwanaume anaweza kukaa na mke asiye na kazi throughout life time, lakini mwanamke hawezi kukaa na mume asiye na kazi hata kwa mwaka tu.

Mkeo amechoshwa na tabia yako ya kupenda mteremko katika uendeshaji wa familia. Cha kufanya chukua majukumu yako usimuuloze kuhusi hela zake.
 
Hapo kuna mawili labda anahisi ww unamsaliti sasa ameamua kureact au kama mtu nje anamdanganya danganya
Ushauri wangu kaanae chini umuulize tatizo pili mshirikishe Mungu kwa funga Mungu atakupa jibu pia zingatia matatizo ndani ya ndoa uamuliwa na wana ndoa wenyewe
 
Back
Top Bottom