Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
Utaratibu wa kuwarudisha serikalini ni mgumu sana, mara nyingi mpaka baada ya mitihani [emoji120][emoji87]Ada za watoto za nini wakati elimu ni bure? Kama umeshindwa kulipa ada, wapeleke watoto shule za serikali. Acha kumsumbua mwenzio.
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
ASANTE kwa mawazo yako ila nini maana ya ndoa nini maana ya kuwa mwili mmoja nini maana ya kuwaacha wazazi wetu na kuungana na kuanza family yetu kwanini yeye asikae kwake na Mimi kwangu then tukutane mda Wa kutafuta watoto tu plz naomba unisaidie majibu kama hutojaliSijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Twende mbele turudi na nyuma yani likishakuja swala la pesa lazima mtifuano utokee pesa inauma
Kasome sheria za ndoa kwenye vitabu vya Dini yako majibu yote yatatokea hukoAsa
ASANTE kwa mawazo yako ila nini maana ya ndoa nini maana ya kuwa mwili mmoja nini maana ya kuwaacha wazazi wetu na kuungana na kuanza family yetu kwanini yeye asikae kwake na Mimi kwangu then tukutane mda Wa kutafuta watoto tu plz naomba unisaidie majibu kama hutojali
Acheni roho mbaya ya nini ?!. Mnawafanya wanaume kuwa kama Tanganyika na Zanzibar . Ya Zanzibar ni ya Zanzibar lakini ya Tanganyika ni ya muungano [emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Hapa yuko sahihi kabisa. Mm mume wangu huwa akichukua hata mia yangu ujue huo ni mkopo, atarudisha tu.
Hapa jiandaye, soon atakuwekea sumu kwenye msosi. Kilicho moyoni mwake ni wewe kurest in peace.
That is true but I'm not cry for love Ila naangalia mustakabathi Wa watoto hawa ambao hawana hatia na mda wote wanatufurahia bila kujua yanayoendelea kati yetu na Mimi najitahidi kutowaonyesha chochote kinachoendeleaMapenzi achana nayo...Hua yanaisha mapema tu...Usiwe deprived na love from a woman or anybody on this earth!
You came alone and you will go alone...Hakuna kitu kinaitwa soulmates or some shit like that!
Kama ni pussy,world is full of pussies,hey just partake in it responsibly!
Acha kulia lia na kulilia mapenzi,thats stupidity!
married life at critical angle, usimbembeleze mwambie sawa, kama yeye anatamani kutoka kwenye hiyo ndoa mwambie afanye haraka huko nje kuna mwenzako anatamani kuingia.Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Agreed !!! Mzee baba ....!!! Mkunje mkeo huyo.... Haswaa suguaaa ...walau Mara moja kwa week ile mwana ukome !!! Uone kama atarejea tena!Ana nyegezi huyo ndo mana anakuwa viasira na kujizira zira!!!kamata sukumia ndani chapa bakora ya kisawa sawa hadi maji aite mayi uone km hatabadilika na kuwa na adabu.we leta mapenz y kihindi tuu
That is true but I'm not cry for love Ila naangalia mustakabathi Wa watoto hawa ambao hawana hatia na mda wote wanatufurahia bila kujua yanayoendelea kati yetu na Mimi najitahidi kutowaonyesha chochote kinachoendelea
Heee we una akili ndogo sana [emoji2960][emoji40]. Wazazi lazima wana hasaraMkeo anataka demkrasia kama watu wa ufipa
Mi nadhani anawaza kijilipua,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31]Ana buzi huyo ndo maana kasema "laiti ungejua niyawazayo, ungekaa kimya"
Kasome sheria za ndoa kwenye vitabu vya Dini yako majibu yote yatatokea huko