Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia

Kila kitu nyumbani ni kazi yako kutoa pesa....Mwanamke hua hela yake haiguswi....

Ada,magari,nyumba,chakula,etc ni kazi yako wewe....Hela itoke kwako na si kwake!

Understand that!
 
KAA NAE CHINI MUULIZE MASWALI YAFUATAYO:-

1. MWAMBIE AWE HURU TU...AKWAMBIE UKWELI ULIPO MOYONI MWAKE(hata kama kusema kwa mdomo hawezi, mwambie aandike)...NI NINI HASA ANATAKA KWA SASA..?

2. YEYE KWA UPANDE WAKE ANAICHUKULIAJE NDOA..?

3. NA KAMA KUMUACHA...JE YUPO TAYARI UMUACHE...? NA KAMA ANAVYOSEMA NA ASIKUSUMBUE KUHUSU WATOTO NA HATA UKIOA MKE MWINGINE...?

4. KAMA MAPENZI YAMEPUNGUA JE ANGEPENDA MAPENZI YAKE YAFUFUKE...KAMA KUNA UWEZEKANO MTOKE MAHALI MKARENEW MAPENZI YENU...?

NOTE:
MPE UHURU WA KUJIELEZA NA UHAKIKA WA KUELEZA HISIA ZAKE...NA UMHAKIKISHIE KUWA HUTOONGEZA MASWALI MENGINE YA KUMKERA...UNAWEZA DHANIA ANA MTU MWINGINE NJE...LAKINI HAPANA KUNA KITU TU KIPO NDANI YAKE KINAMSUKUMA OVYO...SO HESHIMU MAWAZO YAKE...NA KAMA KUNA MAHALI PA KUMSAIDIA MSAIDIE KUTATUA TATIZO LAKE...

AU

HUENDA HUKO MAKAZINI MIONGONI MWA SHOSTI ZAKE KAZINI AU ANAPOENDA KUPIGA STORY NI MA'SINGLE MOTHER NA NDIO WANAOMPA KIBURI...

JINGINE..

OMBI LANGU KWAKO...ENDAPO MKAFANIKIWA KUPATA SULUHU NZURI...MWAMBIE KWA FAIDA YA MAPENZI NA NDOA YENU...MWAMBIE AACHE KAZI YOYOTE ILE ANAYOIFANYA..ATULIE KWANZA NYUMBANI AJITAFUTIE...HATAKI MWAMBIE CHAGUA...KAZI AU NDOA YAKO...!

HIYO NI KWA FAIDA YA NDOA YAKO...NA UTAGUNDUA MENGI TU(yale aliyosema ungejua yaliyopo moyoni mwangu)...
 
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Mapenzi achana nayo...Hua yanaisha mapema tu...Usiwe deprived na love from a woman or anybody on this earth!

You came alone and you will go alone...Hakuna kitu kinaitwa soulmates or some shit like that!

Kama ni pussy,world is full of pussies,hey just partake in it responsibly!

Acha kulia lia na kulilia mapenzi,thats stupidity!
 
Kumsadia mwanamke kupika,kufua,kusafisha jiko hayo ndiyo makosa yako,hawa viumbe lazina uwe na roho ya jiwe sometimes, kudeal na baadhi ya wanawake ukimpetpet sana matokeo yake ndiyo hayo anakuona fala fulani tu,ilitakiwa ukila unaacha vyombo mezani,hata ukimwaga juice kwenye kapeti iache,ukitoka akiuliza unarudi saa ngapi mwambie saa mbili afu rudi saa nane za usiku,yaani maisha mwanaume lazima iwe 80% mwanamke 20% ukileta mambo ya 50/50 beijing utaumia sana.
 
Asa
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
ASANTE kwa mawazo yako ila nini maana ya ndoa nini maana ya kuwa mwili mmoja nini maana ya kuwaacha wazazi wetu na kuungana na kuanza family yetu kwanini yeye asikae kwake na Mimi kwangu then tukutane mda Wa kutafuta watoto tu plz naomba unisaidie majibu kama hutojali
 
Asa

ASANTE kwa mawazo yako ila nini maana ya ndoa nini maana ya kuwa mwili mmoja nini maana ya kuwaacha wazazi wetu na kuungana na kuanza family yetu kwanini yeye asikae kwake na Mimi kwangu then tukutane mda Wa kutafuta watoto tu plz naomba unisaidie majibu kama hutojali
Kasome sheria za ndoa kwenye vitabu vya Dini yako majibu yote yatatokea huko
 
Hapa yuko sahihi kabisa. Mm mume wangu huwa akichukua hata mia yangu ujue huo ni mkopo, atarudisha tu.

Hapa jiandaye, soon atakuwekea sumu kwenye msosi. Kilicho moyoni mwake ni wewe kurest in peace.
Acheni roho mbaya ya nini ?!. Mnawafanya wanaume kuwa kama Tanganyika na Zanzibar . Ya Zanzibar ni ya Zanzibar lakini ya Tanganyika ni ya muungano [emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Mapenzi achana nayo...Hua yanaisha mapema tu...Usiwe deprived na love from a woman or anybody on this earth!

You came alone and you will go alone...Hakuna kitu kinaitwa soulmates or some shit like that!

Kama ni pussy,world is full of pussies,hey just partake in it responsibly!

Acha kulia lia na kulilia mapenzi,thats stupidity!
That is true but I'm not cry for love Ila naangalia mustakabathi Wa watoto hawa ambao hawana hatia na mda wote wanatufurahia bila kujua yanayoendelea kati yetu na Mimi najitahidi kutowaonyesha chochote kinachoendelea
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
married life at critical angle, usimbembeleze mwambie sawa, kama yeye anatamani kutoka kwenye hiyo ndoa mwambie afanye haraka huko nje kuna mwenzako anatamani kuingia.
 
KUNA MANENO YA MWANAMKE AKISEMA "wewe mwanaume una gubu wewe.." Uschukulie poa...
 
Ana nyegezi huyo ndo mana anakuwa viasira na kujizira zira!!!kamata sukumia ndani chapa bakora ya kisawa sawa hadi maji aite mayi uone km hatabadilika na kuwa na adabu.we leta mapenz y kihindi tuu
Agreed !!! Mzee baba ....!!! Mkunje mkeo huyo.... Haswaa suguaaa ...walau Mara moja kwa week ile mwana ukome !!! Uone kama atarejea tena!
 
That is true but I'm not cry for love Ila naangalia mustakabathi Wa watoto hawa ambao hawana hatia na mda wote wanatufurahia bila kujua yanayoendelea kati yetu na Mimi najitahidi kutowaonyesha chochote kinachoendelea

Ni kweli

Ila mkuu usikae kinyonge namna hiyo..Inaonesha mkeo kama ana power fulani kubwa sana....

Usiwe mnyonge!

Kwani mkeo malaya?Alishawahi kuchepuka?

Kama dhambi ya kutiwa nje haipo basi huyo sio wa kuacha,ni wa kumuweka mstari tu!

Usiingilie jiko,hela zote zitoke kwako zake zisiguswe,K zipo kibao mzee wewe mtoto wa kiume huwezi lilia k ya wife mpaka unakonda,halafu mengine ni amsha amsha ya mikwara basi...

Anakaa mstarini!
 
Ana buzi huyo ndo maana kasema "laiti ungejua niyawazayo, ungekaa kimya"
Mi nadhani anawaza kijilipua,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31]

Pole ndg, ndoa ndo zilivyo hiki ni kpindi cha mpito tu....atarud kwenye hali yake akiuchoka upuuzi aufanyao!!
 
Back
Top Bottom