Hahahahaha kutokuolewa haimaanishi hujui sheria za ndoa ....vitabu vipo maandiko ya kiroho yapo na yanasomeka vizuri na kuelewekautakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.
Jiandae kisaikolojia Kwa tukio la ajabu kufanyiwa. Amekwambia ungejua kilichopo moyoni mwangu ungenyamaza. Kuwa makini anaweza kukuua mda wowote uleIko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Na maisha yalivyo tight kama hela ya mwanamke siyo ya kumtegemea ni Bora kama ni mtumishi aache kazi .ili awe mwanamke halisiNdio ilivyo
Hela ya mwanamke siyo ya kutegemea, we somesha watoto wako kutimiza wajibu na wakikua usitegemee msaada kutoka kwao watamjali zaidi mama yao
Shida ya ndoa za karne hii haziendi kwa kuzingatia maandiko ya kiroho zinaendeshwa na utandawazi ........Na maisha yalivyo tight kama hela ya mwanamke siyo ya kumtegemea ni Bora kama ni mtumishi aache kazi .ili awe mwanamke halisi
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Naendelea kupata sababu za kuwachukia wanawake wasomiSijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Naendelea kupata sababu za kuwachukia wanawake wasomi
Pesa ya mwanamke ni ya kwake hilo kataa au ukubali ila ukweli ndo huo ukitaka kupindisha we pindisha tu........kama mnadhani madai ya mtoa mada yapo sahihi mwambieni aende mahakamani akamshitaki mkewe halafu alete mrejesho hapaHuu ujinga wa kusema pesa ya mwanamke ni yake na ya mwanaume ni ya familia ni mojawapo ya factor inayochangia umasikini kwenye familia nyingi za kiafrica.
Big up saana MkuuKAA NAE CHINI MUULIZE MASWALI YAFUATAYO:-
1. MWAMBIE AWE HURU TU...AKWAMBIE UKWELI ULIPO MOYONI MWAKE(hata kama kusema kwa mdomo hawezi, mwambie aandike)...NI NINI HASA ANATAKA KWA SASA..?
2. YEYE KWA UPANDE WAKE ANAICHUKULIAJE NDOA..?
3. NA KAMA KUMUACHA...JE YUPO TAYARI UMUACHE...? NA KAMA ANAVYOSEMA NA ASIKUSUMBUE KUHUSU WATOTO NA HATA UKIOA MKE MWINGINE...?
4. KAMA MAPENZI YAMEPUNGUA JE ANGEPENDA MAPENZI YAKE YAFUFUKE...KAMA KUNA UWEZEKANO MTOKE MAHALI MKARENEW MAPENZI YENU...?
NOTE:
MPE UHURU WA KUJIELEZA NA UHAKIKA WA KUELEZA HISIA ZAKE...NA UMHAKIKISHIE KUWA HUTOONGEZA MASWALI MENGINE YA KUMKERA...UNAWEZA DHANIA ANA MTU MWINGINE NJE...LAKINI HAPANA KUNA KITU TU KIPO NDANI YAKE KINAMSUKUMA OVYO...SO HESHIMU MAWAZO YAKE...NA KAMA KUNA MAHALI PA KUMSAIDIA MSAIDIE KUTATUA TATIZO LAKE...
AU
HUENDA HUKO MAKAZINI MIONGONI MWA SHOSTI ZAKE KAZINI AU ANAPOENDA KUPIGA STORY NI MA'SINGLE MOTHER NA NDIO WANAOMPA KIBURI...
JINGINE..
OMBI LANGU KWAKO...ENDAPO MKAFANIKIWA KUPATA SULUHU NZURI...MWAMBIE KWA FAIDA YA MAPENZI NA NDOA YENU...MWAMBIE AACHE KAZI YOYOTE ILE ANAYOIFANYA..ATULIE KWANZA NYUMBANI AJITAFUTIE...HATAKI MWAMBIE CHAGUA...KAZI AU NDOA YAKO...!
HIYO NI KWA FAIDA YA NDOA YAKO...NA UTAGUNDUA MENGI TU(yale aliyosema ungejua yaliyopo moyoni mwangu)...
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
HahahhaAcheni roho mbaya ya nini ?!. Mnawafanya wanaume kuwa kama Tanganyika na Zanzibar . Ya Zanzibar ni ya Zanzibar lakini ya Tanganyika ni ya muungano [emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Bado haija kufa, ila inapitia hatua mbaya kitu ambacho kama hakuta kuwa na juhudi za makusudi za kupata suruhu yaweza kufa hapo baadae.I
Ife Mara ngapi
asante sana mkuu, umemwambie ukweli, ukisikia mke wako anakwambia hata kuachika ako tayari, jua huyu mke tayari ako na jamaa, na huyu mume pls ajaribu kutafuta njia ya kuishi bile huyu mke, hii ni balaaUnataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
nani kasema hayo, sasa nivumilie mtu ambae ananiona kaa takataka. apana mimi aondoka kwa hio ndoayah inawezekana lakin sometim ajarib kwanza kumvumilia coz ndoa ni ndoano!!