Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

utakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.
Hahahahaha kutokuolewa haimaanishi hujui sheria za ndoa ....vitabu vipo maandiko ya kiroho yapo na yanasomeka vizuri na kueleweka
 
Jiandae kisaikolojia Kwa tukio la ajabu kufanyiwa. Amekwambia ungejua kilichopo moyoni mwangu ungenyamaza. Kuwa makini anaweza kukuua mda wowote ule
 
Ndio ilivyo
Hela ya mwanamke siyo ya kutegemea, we somesha watoto wako kutimiza wajibu na wakikua usitegemee msaada kutoka kwao watamjali zaidi mama yao
Na maisha yalivyo tight kama hela ya mwanamke siyo ya kumtegemea ni Bora kama ni mtumishi aache kazi .ili awe mwanamke halisi
 
Huu ujinga wa kusema pesa ya mwanamke ni yake na ya mwanaume ni ya familia ni mojawapo ya factor inayochangia umasikini kwenye familia nyingi za kiafrica.
 
Ulikosea sana ulipoanza kumfulia nguo za ndani...

Huna chako hapo mpaka sasa, mke wako anakazwa na mwanamme mwingine ndio maana amekuwa na kiburi..

Cha kufanya fanya kama unasafiri ili kumwekea mtego na hakika utajua ni mwanamme yupi anaempa kiburi na ukifumania hiyo ndio tiketi ya kumwacha...

Mambo ya kubembelezana nishasahau wanawake wenyewe wengi, tena wazuri hivi...

Anyway pole sana mkuu...
 
Naendelea kupata sababu za kuwachukia wanawake wasomi
 
Huu ujinga wa kusema pesa ya mwanamke ni yake na ya mwanaume ni ya familia ni mojawapo ya factor inayochangia umasikini kwenye familia nyingi za kiafrica.
Pesa ya mwanamke ni ya kwake hilo kataa au ukubali ila ukweli ndo huo ukitaka kupindisha we pindisha tu........kama mnadhani madai ya mtoa mada yapo sahihi mwambieni aende mahakamani akamshitaki mkewe halafu alete mrejesho hapa
 
Big up saana Mkuu
 

niko kwenye ndoa lakini nimesisimka hayo maneno. kwanza mimi ni muumini wa mfumo dume huwa sisaidii kazi yeyote nyumbani. kazi yangu moja tuu kuhudumia familia
 
Acheni roho mbaya ya nini ?!. Mnawafanya wanaume kuwa kama Tanganyika na Zanzibar . Ya Zanzibar ni ya Zanzibar lakini ya Tanganyika ni ya muungano [emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hahahha
 
Pole sana kaka..haya mambo kwenye ndoa yapogo sana tu..
Mosi mkeo humridhishi kwakila.kitu.unamchukulia poa poa tu😏
Pili amepata wa kumshika sikio
Tatu..ameanza kuchepuka (huu ni ukweli zaidi) na huyo sio mzoefu wa kuchepuka ndo kaanza..mwqnamke mzoefu kuchepuka anazidishaga mapenzi ndani...aso mzoefu huwa bi bora liende...ss km ww ni kidume kweli jitahd kumrudisha kwenye mstari kabla haijawa worse zaidi😊😊...akizoea kuchepuka imetoka hyo..
Jingine... punguza gubu una vitu vingine bas mwambie ht dada wa kazi...inaezekana uliongea kwa nguv had wagen wkqsikia...nan anapenda kuumbuliwa hvyo...

La mwisho aisee hongera..unamsaidia mkeo kazi??jaman jaman jaman...sie wengi ht handkerchief hawafui😏😏..ww acha kumsaidia kaz as amesema mwenyew...!
la mwisho usitegemee hela ya mkeo..ila ina bahati.sana...wengine hapa tumegawana majukumu pasu kwa pasu...
UMENIVURUGA😣😣
 
Unataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
asante sana mkuu, umemwambie ukweli, ukisikia mke wako anakwambia hata kuachika ako tayari, jua huyu mke tayari ako na jamaa, na huyu mume pls ajaribu kutafuta njia ya kuishi bile huyu mke, hii ni balaa
 
Yawezekana ana mimba changa. Hawa jamaa wakiwa na mimba changa hawatabiriki ni kama kuku wa kisasa. unapita zako kwenda kuokota mayai yeye analala chini kuwa weye kakuona jogoo anataka umpande.
Mpe muda mkuu, tena ni mkeo mpendwa wako. Huna mwingine hivyo mbembeleze tu hata kuzama chumvini ili umridhishe
 
Kuna njemba linamtia kiburi ndiyo sababu anaweza kukujibu majibu yenye najisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…