Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Haya sasa,...akiwa rojorojo atachukulia serious huu ushari wako...bad
Kama akiwa anaipenda ndoa yake atayafanyia kazi maneno yangu ila kama akichukulia poa basi apotezee.
 
Amechoka hayo maisha wenzake wanamaisha mazuri nyie ni mko pale pale wala hampigi hatua ndio maana anagomba na wewe wala huoni sasa ndio anareact wenzie wanaume zao kila mwaka wanajitahidi wanapiga hatua wewe hujitumi chapa kazi acha kujishaua jf ni ya vijana ambao hawana majukumu.
 
Fanya uchunguzi ujue nini chanzo kisha nenda kwa aliyekufungisha ndoa mweleze ukiwa na uhakika wa yale utakayo mueleza.
 
Ila nijuavyo mimi....dawa ya moto moto...piga hadi wajukuu zake na usiwe na mapenzi ya kizungu Africa!!
 
Anafanya kazi na huwa anakuwaga na vitimbi vitimbi sana Mara bora nice oooh bora nisingezaliwa Mara anipige mategee na mangumi namwangalia tu Mara Sikh engine aniambie toka kwenye nyumba yangu wakati nyumba yenyewe nimepanga Mimi
Pole sana mchunguze zaidi kuhusu mahusiano yake huko nje na aina ya marafiki aliokua nao kuna kitu hakipo sawa mkuu

Vinginevyo fuatilia utimamu wa afya yake ya akili, pengine yaweza kua ana stress, mawazo au kunajambo kubwa linamkabili au kalifanya lina mu haunt sasa!
 
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
duh una ndoa kweli ww??
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia

Nilikuwa nnakuheshimu sana, japo haileti tofauti yoyote nimekudharau sana
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Kwanza nikupe pole, halafu huyo mwanamke amelishwa maneno na mwanaume mwingine baada ya kumpa siri zote za ndani. What to do, tafuta mqanamke mwingine mshiti kabisa ikiwezekana mda mwingine usirudi kulala nyumbani hata siku 2. Na ukirudi akikuuliza mwambie asikufuatilie, wala usimwambie ulikuwa kwa mwanamke. Mwambie tu kazi zilinibana ofisini ndo maana hujaniona siku zote hizo. Akikuuliza mpaka unalala huko huko kazi gani hizo. Mwambie ndo utaratibu mpya umejiwekea.
 
Nilikuwa nnakuheshimu sana, japo haileti tofauti yoyote nimekudharau sana
Hahahahahahhahahahahaah hata ukinidharau haitobadilisha ukweli kwamba pesa ya mwanamke ni yake na si vinginevyo hamna haki ya kuipangia matumizi ni hilo tu .......haya unaweza kuendelea kunidharau ni ruksa sababu huniongezei wala kunipunguzia chochote


Asante kwa ushirikiano
 
Wewe ni mwanaume suruali na hutakiwi wala kusema lolote kwake kwa kuwa ulimwanzisha vibaya hukujijua wewe ni Nani!

Hivi unajua ukimsaidia MTU kazi unakuwa msaidizi wake ? Kama ni mwanaume umeambiwa utafanyiwa msaidizi wa kufanana na wewe badala wewe akusaidie unamsaidia wewe maana yake yeye ndo mumeo na wewe ni mke wake.

Mimi nilipiga marufuku kunambia nimsaidie nishamwambia ukiwa umechoka na kuna kazi nambie nimechoka kuna kazi hizi kama ninatime nitazifanya maana ni zangu marufuku kuniambia nikusaidie Mimi siyo mkeo.

Nilikuoa nikiwa najua kufua ,konyosha, kupika zaidi yako na vingine vyote kwa hiyo nilikutoa kwa baba yako na mama yako uje kunisaidia siyo unisaidie wewe mwambie house girl akusaidie siyo mie .

Mke lazima utumie uanaume wako na akili yako ajue unachokiongea unakielewa na kukifanyia kazi

Mwanaume unalialia nini
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
 
Back
Top Bottom