Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Pigia mstari hapaKuna Mwanaume Anampa Jeuri.
Hapa anatakiwa ahakikishe watoto wake wanajua yeye ndiye anayetoa pesa zote za ada na matumizi ya nyumbani.Ndio ilivyo
Hela ya mwanamke siyo ya kutegemea, we somesha watoto wako kutimiza wajibu na wakikua usitegemee msaada kutoka kwao watamjali zaidi mama yao
Tayari huyo alishakuacha muda mrefu sana.Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Mkuu, wanawake kama hao ndoo maana waishia kuzalishwa na kutelekezwa.Ulio ongea hapo ni usen.ge mtupu.. Unajua maana ya familia..
Kweli ntachelewa kuoa wabongo wanavitukoMkuu, wanawake kama hao ndoo maana waishia kuzalishwa na kutelekezwa.
Acha kuzingizia vitabu vya dini kama wewe unayajua maandiko tupe kwa faida ya wengi sema were utakuwa na porojo tuuMkuu unatakiwa kutafuta vitabu ambavyo vitaeleza misingi yote ya ndoa ...haki za mume na mke pia ....kila kitu utakipata huko
Tupo pahala pamoja usiku na mchana bintiKakumiss tu huyo hana lolote
Weka black and White bro ANDIKA SASA HIVINaandika nafuta naandika nafuta..dah
Anataka sana nimpatie kazi Mimi ninampotezea tuFanya hivi ikifika usiku piga nyeto huku anakuangalia ukimaliza jifute ulale ndani ya siku 3 atajuwa we ni BAHARIYA
wrong assumptionUnataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
Casablanca nimekupenda bureeeKwanza, ndio watu wajifunze kwamba huo utaratibu wa kuishi kimada na mwanamke kwa miaka hata minane ili ati kusomana tabia hausaidii kumjua mwanamke vilivyo. Mwanamke utamjua akishakuwa ndani ya ndoa na kukita mizizi kwa kuzaa nawe watoto kadhaa.
Pili, mkeo ktk habari ya pesa yake yuko sahihi. Inaonesha alikuzoeza maisha ya kitamthilia ya kukufanya uwe na amri na pesa yake. Wakati ule alikuwa atafuta ndoa. Sasa alishaipata. Anahitaji atumie pesa yake anavyotaka mwenyewe akiwasaidia wazazi wake waliomsomesh, na kwa hili yupo sahihi. Ni jukumu lako kuhudumia watoto wako kwa mavazi, chakula, makazi na elimu. Ukikwama kopa kwa rafiki zako.
Ulipomzalisha bila ndoa ndio ulipomkaribisha shetani kwenye muunganiko wenu, anaamini usingemzalisha na kumfanya awe anakufuata fuata kuficha aibu labda angepata mwanaume Bora kuliko wewe... Mkaombewe, shetani anamnong'oneza maneno mkeo ya kumtia hasira ili awasambaratishe na watoto waishi maisha mabaya wasifikie mafanikio waliyopangiwa na Mungu.Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Jamani hii dunia ni mikasa kila kukicha daah!...? inasikitisha sana kwakweliUnataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
Nadiriki kusema ndo ujinga wako ulipo!Anataka sana nimpatie kazi Mimi ninampotezea tu
[emoji23][emoji23] Tatizo jamaa hajui Kama ww Ndo mshauri wa mkewe[emoji6]Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Hakuna matata wewe umeongea fact sana pesa ya mke na mume in PESA YA FAMILIAHuu ujinga wa kusema pesa ya mwanamke ni yake na ya mwanaume ni ya familia ni mojawapo ya factor inayochangia umasikini kwenye familia nyingi za kiafrica.