Mke wa Nyalandu asema mumewe hakutaka kutoroka nchini

Mke wa Nyalandu asema mumewe hakutaka kutoroka nchini

Mbowe yeye anaenda ubalozini lini au na yeye ataibukia Kenya na kuomba asylum 😂...
Hawa jamaa zenu ni wapumbavu, wanategemea watachukua nchi kwa drama za Twitter na JF.
Daah' nimeshindwa kujizuia aisee
😂😂😂😂
 
Kastukiwa huyo, wanaacha nyaraka halali ili wakaombe hifadhi ya ukimbizi. Serikali ya Tanzania inashindwa kumtimua balozi wa Ujeremani akawa kielelezo cha msimamo wetu kama Taifa. Kwa nini hawa wanaachwa watuchezee hivi?

Unafikiliaga vitu ni rahisi hivyo eeh

Wajaribu kumfukuza uone kama ndugu zako watapata dawa za arv
 
Kwa jinsi ulivyoandika, nina imani utakuwa uliishia darasa la Nne B.

Kama vipi washauri wenzio kesho muandamane muishinikize serikali imfukuze Balozi basi...

Serikali inatakiwa ijiongeze haiwezekani kwenda mikono nyuma kila wakati. Hawa mabeberu wametuletea mgombea wao kwenye uchaguzi. Maana ni mjinga tu na asiye na akili wala hekima atakayesema Lissu alikuwa mgombea wa cdm na alikuwa anawakilisha baadhi ya Watanzania. Ni ujinga kufikiria hivyo.

Lissu alikuwa mgombea wa mabeberu aliyeletwa kushiriki uchaguzi wa Tanzania ili awakilishe maslahi ya mabeberu ukiwemo ushoga.

Sasa Tanzania kuwa nchi huru maana yake nini? Kama tunaweza kuletewa mgombea katika uchaguzi wetu na mabeberu. Uchaguzi umeisha bado chokochoko zao haziishi. Hivi Tanzania inaweza ikampeleka mzungu au rai wa nchi za kibeberu awe mgombea katika chaguzi zao kwa ajili ya maslahi ya Tanzania.

Wakati umefika balozi wa ujerumani au aitwe atoe maelezo na kama hayatajiridhisha afukuzwe. JK Nyerere alifanya hivyo na JPM hatakuwa wa kwanza. Hivi nani asiyejua Wajeremani na Wazungu wana maslahi Tanzania? Kwa nini maslahi hayo yasitumiwe kuwafanya hawa wawe na adabu.

Utaratibu huu wa sasa wa kuenda kihewala Bwana mkubwa kila wakati hautatusaidia lolote ila utatuumiza kidogo kidogo mwisho wa siku tutashindwa maana unafiki haujawahi kulipa hata siku moja.

Radio yao ya DW imekua propoganda machinery dhidi ya serikali. Balozi naye kaingia mstari wa mbele sasa kusaidia uhuni wa Lissu na genge lake halafu anaangaliwa tu, haiwezekani.

Lazima lifanyike jambo. Amsterdam ana tentales zake sasa hadi nchi ya jirani ya Kenya bado tunaangalia tu. Ukisikia maneno ya mwanasheria wa Lema utaona bila ubishi ni spika tu ya Robertison. Hao NTv ya Kenya ni dhahiri wanalipwa kutuhujumu kwa propoganda zao. Halafu wanamtumia Bwege tunaangalia tu. Sasa kama Taifa tunatakiwa tushughulikie hivi viashiria vidogovidogo mapema bila kukawia.
 
Tunasubiria episode ya nne ya bwana mashavu Boniface Jacob, sijui yeye atatokea border gani na igizo jipya la Chadema 😂
What goes around comes around. Usifurahie na kukejeli kinachotokea kwa mwenzako kama huna jicho la kuona kesho na keshokutwa. Wahenga wanasema "mwenzako akinyolewa wewe tia maji" . Kama haya yaweza kutokea kwa MTZ mwenzako wewe ni nani hata uwe salama
 
Wewe ni taahira mkubwa. Naomba nikuulize Lissu alifanyia kampeni Ubelgiji au Tanzania? pili Je waliokuwa wanahudhuria mikutano ya Kampeni ya Lissu ni wazungu au Watanzania? possibly wewe una makengeza ya akili na macho. Mabeberu hawa mnaowasema ndio wanao support budget ya serikali na huduma nyinginezo za afya.
 
Kama unamchukia mtu kwa akili yako ya kidikteta usitake watu wenye maono ya mbali nao wamchukie kwa sababu zako za kingedere.
 
Wewe ni taahira mkubwa. Naomba nikuulize" Lissu alifanyia kampeni ubelgiji au Tanzania? pili ' Je waliokuwa wanahudhuria mikutano ya Kampeni ya Lissu ni wazungu au watanzania? possibly wewe una makengeza ya akili na macho. Mabeberu hawa mnaowasema ndio wanao support budget ya serikali na huduma nyinginezo za afya.

Wewe ni pumbavu kweli tena wa kiwango cha sgr160km/hr. Kama hujui kuwa hata babu zetu waliopelekwa utumwani walikamatwa na waswahili wenzao na watemi wa kipindi kile na kukabidhiwa kwa waarabu!!! Unasaidika vipi wewe pumbafu wahedi.
 
Wanaosubiri kutorokea nchi jirani bado:-

1- Halima Mdee

2- Joseph Mbilinyi

3- Ester Bulaya

4- Peter Msigwa

5- Kamanda mkuu Mbowe

6- Prof J

7- Jacob Steven

8- Zito Kabwe

9- Maalim Seif

10- John Heche...........

11

12

13

14

15...........
 
ah ah alkimbilia ndoa ya waziri akijua Maisha yatakua mserereko...kumbe ameserereka...Maisha yanaenda kasi sana
 
Unafikiliaga vitu ni rahisi hivyo eeh

Wajaribu kumfukuza uone kama ndugu zako watapata dawa za arv
arv ZIKO DUNIA NZIMA ISSUE NI PESA TU , WALA USIJIDANGANYE KWAMBA ULAYA NA MAREKANI NDIYO WAFADHIRI PEKEE.CHINA YUPO NA URUSI
 
arv ZIKO DUNIA NZIMA ISSUE NI PESA TU , WALA USIJIDANGANYE KWAMBA ULAYA NA MAREKANI NDIYO WAFADHIRI PEKEE.CHINA YUPO NA URUSI

Jiulize mbona Hao hawaleti?
Acha story za gereji ww kijana, unadhan mambo ya international kwenye inchi yanaongozwa kama unavyoongoza familia yako?
 
Wanaosubiri kutorokea nchi jirani bado:-

1- Halima Mdee

2- Joseph Mbilinyi

3- Ester Bulaya

4- Peter Msigwa

5- Kamanda mkuu Mbowe

6- Prof J

7- Jacob Steven

8- Zito Kabwe

9- Maalim Seif

10- John Heche...........

11

12

13

14

15...........
Yaani haya majamaa ndizi haswaa, Zitto anasema eti wapiganaji wanagawanyika makundi mawili moja litakuwa nje kama wakimbizi na lingine litapigana humuhumu ndani. Jamaa viazi sana wanajaribu kuiga wale diaspora waliosaidi kuleta mapinduzi kwenye nchi za kiarabu ambazo hadi leo hata hao waliosaidia kupindua hawathubutu kuingia nchi hizo. Kwa tanzania watasubiri sana, nchi hii si ya kulinganisha na nchi za kiarabu na kiafrika magharibi,hii ni Tanzania ya nyerere. Halafu kikundi chenyewe kimejaa ma form four failure, msomi ni zitto pekee ambaye naye ni vuguvugu hajitokezi waziwazi anajaribu kupima kina cha maji.
 
Mkuu wa Wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe amesema, Lazaro Nyalandu amezuiwa Namanga kwasababu hakuwa na nyaraka muhimu na atafikishwa Mahakamani endapo atashindwa kuwasilisha nyaraka hizo.

Mke wa Lazaro Nyalandu, Faraja Kotta Nyalandu amesema wao wanaishi Arusha na mumewe hahitaji nyaraka ili kufanya shughuli zake akiwa upande wa Tanzania na wala hakuwa na mpango wa kuvuka mpaka wa nchi.

Pia amesema tukio hilo halikutokea Novemba 9, kama ilivyoripotiwa bali lilitokea Novemba 6.

Lazaro Nyalandu alikuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia CHADEMA. Iliripotiwa kuwa anashikiliwa na Maafisa Uhamiaji wa Tanzania kwa tuhuma za kutaka kuondoka nchini bila nyaraka muhimu.

Dc kaanza kusutwa na mwanamke!!!
Propaganda zingine zinamfanya aliyezifanya ayadharaulishe mamlaka aliyopewa!!
 
Jiwe kwa sanaa yupo vizuri

Ila mkumbusheni tu mtetezi wetu yu hai, na hadi saivi dk ya 0, 0-3
Swala la alubadili iliyosomwa tanga sasa inawasambalatisha wenyewe mpaka mpate akili sawsawa,
Sala zenu zote ni batili na ndio maana mnashindwa kila kitu.
 
Hii maana yake nini?!

1. Polisi ndio waongo?

au

2. Mke wa Nyalandu ndie muongo?

Ila kwa muunganiko wa matukio, naanza kuamini mke wa Nyalandu ndie mkweli, kwasababu mtu kama Nyalandu siamini kama hajui taratibu za kusafiri nje ya nchi mpaka aache documents muhimu.

Alikuwa na safari zake maeneo ya mpakani, polisi kwa kutojiamini hasa kutokana na lile tukio lililotangulia la Lema, wakaona wamkamate, kumbe hata hakuwa na mpango wa kusafiri nje.

Nilijiuliza inakuaje mtu anaetaka kukimbilia nje atumie private car yake? kumbe alikuwa na mishe zake tu.
Mkuu watu wanatetea ugali wao ndio maana hawajui lipi litafurahisha ngazi za tengua teua!!
Hakuna anaetaka kutumia weledi tena...
 
Back
Top Bottom