Mke wa Nyalandu asema mumewe hakutaka kutoroka nchini

Vipi Mbowe anaenda ubalozi gani ? Au na yeye ataibukia Kenya, mna drama kama ma slay queen vile 😂...
Mkianzisha CDM reality TV show mtapata pesa nzuri zaidi hata ya ruzuku, maana mpo vizuri kwenye maigizo.
Ukikua utaelewa kwa sasa najua unategemea K ya dada yako kuishi na kuchat hapa JF!
 
Mke Wa nyalandu kaongea ukweli Nyalandu ni Jirani yangu anaishi Arusha alihamiaga kitambo sana kwa hiyo kwenda kwake namanga ni kama kaenda Dukani kununua maziwa ya mtindi tu
 
Kwa sisi tulioanza kufuatilia tawala za kiimla toka zama za akina Amin, Mobutu, Bokassa, Doe nk tunaelewa namna hawa madikteta wanavyo-operate.

Kwanza sifa kuu ya dikteta yeyote ni kuwa muoga kiasi cha kuamini watu wachache sana au kutoamini yeyote kabisa.

Hii hulka huwafanya wawaue wapinzani wao au kuwapa hofu ili wakimbilie uhamishoni. Yeyote yule mwenye kuwafuatilia hawa watawala wa kiimla watakubaliana na mimi.
 
Kunywa maji upumzike kidogo, alafu ukirudi ujenge hoja na si mipasho
 
Tunasubiria episode ya nne ya bwana mashavu Boniface Jacob, sijui yeye atatokea border gani na igizo jipya la Chadema 😂
Hivi wewe masikini unafurahia mateso ya wengine unapata faraja sio..wenzako wanachota matrilioni wewe unasugua gaga bwa bwa
 
Hao jamaa ma pimbi sana, yani wanafanya hesabu za kitoto kabisa
 
Tunasubiria episode ya nne ya bwana mashavu Boniface Jacob, sijui yeye atatokea border gani na igizo jipya la Chadema 😂
Wewe ni mpumbavu,.kwa hiyo watu wasisafiri nje ya nchi kwa kuwa Magufuli yeye hawezi kusafiri?
 
Wewe ni mpumbavu,.kwa hiyo watu wasisafiri nje ya nchi kwa kuwa Magufuli yeye hawezi kusafiri?
Poaaa, Mbowe anasafiri lini 😂
Tunajua kuna episodes inafuata ya Mbowe na mashavu Boniface, hizi ni reality show kabisa, CDM mtafute copyright BASATA.
 
Maelezo yote haya unajisumbua tu. Hakuna mtu ndani ya serikali hii anayeweza kumfukuza balozi wa Ujerumani ama Marekani ama wa nchi yoyote ya Ulaya.

Nasema hakuna usione wamekaa kimya ukadhani ni wajinga.
 
Sijui nani msema kweli hapo au Nani muongo..nilichopenda tu vile mke alivyosimama kutetea Mume.
 
arv ZIKO DUNIA NZIMA ISSUE NI PESA TU , WALA USIJIDANGANYE KWAMBA ULAYA NA MAREKANI NDIYO WAFADHIRI PEKEE.CHINA YUPO NA URUSI
Huyo China anayewekewa vikwazo kila siku na Marekani ndo awe mtetezi wa mwafrika?

China hana muda na mambo ya siasa yeye kikubwa ni kukopesha nchi za kiafrika kwa riba isiyolipika ili avune mavuno manono lakini sahau suala la kukusaidia.
 
She is very right.
Waliomshikilia wanaweza kushinda kesi mahakama kirahisi tu.

Haya mambo ndiyo yanaichafua nchi.
 
Hawa akina Lema na Lissu pamoja na ndugu zao chini ya kapeti hawitakii mema Tanzania,wanacho kifanya ni kuichafua taswira ya nchi yetu mbele ya Jumuia ya kimataifa ili kuvutia vikwazo vya kimataifa.

Wananchi tumeamua kupitia sanduku la kura hawawezi hata wakiungana matusi kututukana
 
Poaaa, Mbowe anasafiri lini 😂
Tunajua kuna episodes inafuata ya Mbowe na mashavu Boniface, hizi ni reality show kabisa, CDM mtafute copyright BASATA.
Sasa kama ni maigizo Why dikteta Mla nyama za watu anahangaika? Nyama za akina Alphonce Mawazo, Akwilina, Azory Gwanda, Ben Saanane, maelfu ya Wananchi wasio na hatia wa Pemba na Kibiti zilizojaa kwenye mafriji nyumbani kwake hazijamtosha tu kwenye tumbo lake?
 
Unazungumzia Tanzania ya Nyerere?

Huyo Nyerere aliyeponea chupu chupu mara kadhaa kupinduliwa hadi akaamua kung'oka kuhofia kuondoka kwa aibu.

Kama Nyerere alikoswakoswa kupinduliwa tena nchi ikiwa gizani na wasomi kiduchu vipi sasahivi wasomi kibao na watu wengi wenye uelewa wasiotaka kuwasujudia watawala ishindikane kufanya jambo lao.

Ni suala la muda tu watawala wengi wa kiafrika hawakuamini kilichowapata baada ya kudhani jeshi na vyombo vingine vitakuwa vitiifu milele.

Jeshi likiona wananchi wamechafukwa roho huwa linaungana nao kumuondoa aliyekuwa anatoa amri.

Kibri sio jambo lakujivunia hata kidogo.
 
Mbinu chafu za CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…