Kastukiwa huyo, wanaacha nyaraka halali ili wakaombe hifadhi ya ukimbizi. Serikali ya Tanzania inashindwa kumtimua balozi wa Ujeremani akawa kielelezo cha msimamo wetu kama Taifa. Kwa nini hawa wanaachwa watuchezee hivi?
Wewe ni mshamba! Hifadhi huwa rahisi zaidi unapokuwa na nyaraka. Usilete mambo ya kuhadithiwa hapa. Unaweza kuwa hujui hili. Kile kiwanja ambapo ubalozi wa Ujerumani (na wowote ule wa nchi nyingine) sio sehemu ya himaya ya Tanzania - kwa mujibu wa mkataba wa Geneva. Kutimua balozi hawewezi, labda watimue hawa wengine waafrika. Hawaachwi watuchezee - hatuna haki wala uhalali wa kuwafanyia unayotaka! Na usiombe wakalipiza!!!