Mke wa Padri

Mke wa Padri

Ningekuwa mimi ningemrudia. Anayependa kujua kwa nini ninasema hivi an-"private message" nimpe mkanda
yamewahi kukukuta nini mkuu:eyeroll2:,
au ni tiketi ya vatikani unataka??? :shocked:
uuuwi au sadaka za waumini? :confused2:
 
hivi mtu unayetaka kumuoa halafu anakufanyia matimbili yote hayo bado tu unamng'ang'ania umeshaambiwa amejengewa mpk na nyumba na huyo padre bado tu humo, umemfumania analiwa uroda bado humo, umetishiwa kuachishwa masomo bado humo, sasa hivi umedungiwa mimba bado humo nadhani kinachofuata sasa ni kuwekewa sumu utoweke kwenye uso wa dunia

Once again sikiliza wimbo wa ZOBA wa Banana utapata akili
 
hivi mtu unayetaka kumuoa halafu anakufanyia matimbili yote hayo bado tu unamng'ang'ania umeshaambiwa amejengewa mpk na nyumba na huyo padre bado tu humo, umemfumania analiwa uroda bado humo, umetishiwa kuachishwa masomo bado humo, sasa hivi umedungiwa mimba bado humo nadhani kinachofuata sasa ni kuwekewa sumu utoweke kwenye uso wa dunia

Once again sikiliza wimbo wa ZOBA wa Banana utapata akili

Yawezekana hilo! Hivi umeishapewa tiGo weye?
 
huyo rafiki yako anataka aonywe vipi???? huyo si mke, apige magoti aonbe mke mwema.
 
Ni rafiki yetu wa familia. Tulifahamiana tangu high school. Amekua na mahusiano na msichana mmoja ambae baadae alikuja kugundua kua anatoka na baba paroko.amejengewa nyumba pia

Wakiwa chuo kikuu kimoja huko jijini wanakopatikana masangara, rafikiangu huyu alijaribu kumsihi mpenziwe huyu aachane na padri ikiwa kweli alikua tayari kuwa nae kwa rest of maisha yake. Binti alikua anamdanganya mara kwa mara kua ameachana na padri lakini jamaa akaja kuwabamba live room kwa huyo dada. Lilizuka vurugu kiasi kua padri alimtishia jamaa maisha ( hata kimasomo kwani mtumishi huyu ni mdosi katika chuo walichokua wanasoma) yeye hakutaka kumtosa binti kwa madai kua alimpenda sana ingawa tulimshauri aachane nae.

Baada ya muda sasa wamemaliza chuo na kijana kwa mapenzi mema alimtambulisha binti kwa baadhi ya ndugu ikiwemo mama yake mzazi ambae alimpenda sana huyo mkwe. Ila kijana hakuwahi kumwambia mamake tabia ya huyo mpenziwe,akidhani atarekebika.

Dada juzijuzi akadai anakitumbo ndii (haijulikani kama ni padri au jamaa) akademand kutoka kwa kijana kua aende kumtambulisha ili maandalizi ya ndoa yafanywe, kijana alikubali ila kwa masharti kua anataka binti amthibitishie kua hana tena mahusiano na baba paroko.bint akadai kua angempigia simu wakiwa pamoja ili athibitishe lakini siku ilipofika hakukubali kupiga simu. Kijana akampa live kua hapo ndo mwisho wa mapenzi yao.

Binti kwa kujua kua mama mkwe anamfagilia akakimbilia kwa mama kumtaka amsaidie ili mwanae amkubali tena. Kijana akaona isiwe tabu akamsimulia mamake kila uozo wa binti kitu ambacho kiliamsha hasira ya mama. Hataki hata kumsikia na binti kwa kujua hilo juzi kaumwa ghafla na sasa kalazwa hospitali hoi. Baadhi ya ndugu wa dada wanamsihi jamaa amsamehe, sisi kama marafiki tumemsihi amsahau maana mara nyingi hawa watu wanaokua na mapadri huwa hata waolewe huwa wanaendeleza hayo mahusiano.

Kachanganyikiwa hajui afanyeje, wanajamii hebu nipeni ushauri wenu kuhusu huyu ndugu maana msimamo wake naona hauna mashiko.
Hakuna cha kumshauri zaidi ya kwamba AACHANE NA HUYO DEMU.............. kumbuka katika hali hii padre anajuficha na demu anajificha kwenye kutekeleza mambo hayo.......sasa tafakari ikitokea akimpatakijana ambaye hana sababu ya kuficha mambo yake kwa watu si ataowa kabisa.......???
 
Hakuna cha kumshauri zaidi ya kwamba AACHANE NA HUYO DEMU.............. kumbuka katika hali hii padre anajuficha na demu anajificha kwenye kutekeleza mambo hayo.......sasa tafakari ikitokea akimpatakijana ambaye hana sababu ya kuficha mambo yake kwa watu si ataowa kabisa.......???
yaani sisi tunaona binti anatafuta mwavuli wa ndoa ili aweze kutumbua vizuri na baba paroko.
 
p0le is all i can say, he should have woken up long time by now. otherwise awe tayari kutunza watoto wa padri apart from hiyo mimba
 
p0le is all i can say, he should have woken up long time by now. otherwise awe tayari kutunza watoto wa padri apart from hiyo mimba
woiwoi mama yeeyo imerudi?cjaona comments zako hapa kwa kitambo.....
anyway it seems huyu jamaa yetu hataki kuamka bado ana kausingizi ka maruweruwe ka kushindwa kuamua vema...cjui ndo libwata mi celewi bana
 
hajui afanyeje?
Kwa kifupi hiyo mimba ni ya Padre ndo maana Binti aligoma kupiga simu..
Ila kijana nae sijui kalishwa limbwata wakati jibu ni moja hapo:confused2:

Hiii kitu hiikitu hii!!!!:confused2::confused2::confused2:!

Haya sio mapenzi huyo jamaaa ana kaugonjwa fulani......................Teamo waelekeze Nyumbanitu hao!
 
ikiwa wamekua na baba paroko kwa miaka sasa wadhani tumwiteje huyu bint?:eyeroll2:

Mzinifu hafungamani isipokuwa na mzinifu mwenzake~~~
Ukiona hauna wivu to this extent jichunguze upya.
 
Yawezekana hilo! Hivi umeishapewa tiGo weye?[/COLOR]


ahahahahaaa...Rev. Masaniloooooo....kweli umekuwa mchungaji..ila sasa unachunga nini ndio ishu yenyewe...ahahahaha...sorry bro..was reading between lines n words..ahahaha
 
kuna watu wanapenda vibaya duniani huyo mwenzetu amependa mpaka amepatwa na upofu na brain imeingia ukungu kabisa kawa kama zezete sijui huyo binti amemfanya nn? au ndio demu wake wa kwanza?
 
kuna watu wanapenda vibaya duniani huyo mwenzetu amependa mpaka amepatwa na upofu na brain imeingia ukungu kabisa kawa kama zezete sijui huyo binti amemfanya nn? au ndio demu wake wa kwanza?

Mkuu yasikie tu kwa jirani, yasikukute. Ukichoropoka hapo unakuwa kamanda wa ukweli
 
Mi namshauri wala asimrudie, kama alimshauri hakusikia. isije ikawa hat hiyo mimba ni ya padri sa anatafutia wa kumlea.
 
kuanza upya si ujinga!!

Maji ni ya mgawo umeme ni wa mgao lkn hakuna mapenzi ya mgawo hiyo haikubaliki
Padri anataka demu arudi kwa mshikaji ili afiche aibu ya hiyo mimba ionekane ya mshikaji then akishajifungua waendelee kula uroda


Haina haja ya kuendelea naye lkn vile vile mshikaji kalea huo upuuzi na acha umsumbue sasa

Hata mimi yalinikuta sintosahau kwani kisa hiki kinafanana na kilichowahi kunikuta na nikaamua kuachana nakumuomba mungu na kweli nilipata mpenzi mzuuri ambaye kafuta machungu yote na kunifanya nijisikie furaha muda wote

NI bora kuachana naye na kumuomba mungu akujaalie mke mwema
 
hivi mtu unayetaka kumuoa halafu anakufanyia matimbili yote hayo bado tu unamng'ang'ania umeshaambiwa amejengewa mpk na nyumba na huyo padre bado tu humo, umemfumania analiwa uroda bado humo, umetishiwa kuachishwa masomo bado humo, sasa hivi umedungiwa mimba bado humo nadhani kinachofuata sasa ni kuwekewa sumu utoweke kwenye uso wa dunia

Once again sikiliza wimbo wa ZOBA wa Banana utapata akili

...halafu bado unakuja kutuomba ushauri wanaJF! Haya acha tukushauri kile ambacho inaelekea ndicho unachotaka...ENDELEA NAYE !!:mmph:
 
Mhh, makubwa haya, huyo padiri ungemrusha tu hewani, this is JF where we do talk OPENLY.
 
Back
Top Bottom