Mke wa rais aliyeshindwa kumuua mmewe mara 638 (kuondoa uhai wake)

Mke wa rais aliyeshindwa kumuua mmewe mara 638 (kuondoa uhai wake)

Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara
Zinasemwa lakini sidhani. Analaumiwa tu kwa kumtekeleza Che, hadi Che akaanza kuhangaika kutafuta mapinduzi mengine Congo na Bolivia alikofia.
 
Majaribio mengine vipi?? Au kuna muendelezo???
 
Kuna Mtu huku nasikia anapenda sana papuchi hii mbinu tunaweza kuitumia ili akawe kiongozi huko mbingun atakako
 
Aisee hii ndo mtu anavaa fulana ya chadema wakati ndani ya moyo wake ni Ccm damu ....
Naona ni chupa ya bia lakini ndani kuna Soda yaani heading na Content haviendani
 
Zinasemwa lakini sidhani. Analaumiwa tu kwa kumtekeleza Che, hadi Che akaanza kuhangaika kutafuta mapinduzi mengine Congo na Bolivia alikofia.
kwani sialiamua kuachia ngazi mwenyewe cheo laichopewa au palikuwa na shinikizo

then Castro anahusishwa pia na kifo cha aliyekuwa mkuu wa majeshi wa taifa lake amabaye alikufa kwa ajali ya ndege
 
kwani sialiamua kuachia ngazi mwenyewe cheo laichopewa au palikuwa na shinikizo

then Castro anahusishwa pia na kifo cha aliyekuwa mkuu wa majeshi wa taifa lake amabaye alikufa kwa ajali ya ndege
Wanasema pia wale 12 alioanza nao mapambano Sierra Maestra walikufa vifo vya ajabu ajabu akiwemo Commandate Camillo Cienfuegos. Aliyeishi hadi kufikia umri mkubwa miongoni mwa hao 12 ni Juan Almeida Bosch.
 
Wanasema pia wale 12 alioanza nao mapambano Sierra Maestra walikufa vifo vya ajabu ajabu akiwemo Commandate Camillo Cienfuegos. Aliyeishi hadi kufikia umri mkubwa miongoni mwa hao 12 ni Juan Almeida Bosch.
naam Jamaa alikuwa ni jasusi haswaaa yule niwazi alijaribu kuwamaliza wenzake kwaajili ykuogopa mapinduzi hpo baadae ...ddaah dunia hii kweli INA mambo
 
Back
Top Bottom