Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,119
WamekudanganyaKasome intelligence books
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WamekudanganyaKasome intelligence books
Ongeza mengine mkuu maana safari moja huanzisha na nyingineShe failed in one attempt. Hayo mengine ni majaribio mengine. Kichwa na habari husika haviendani, waandishi makanjanja mnaharibu JF.
lengo ni ujiongeze na uwe na mlango wa faham wa ziada ili kuyatambua yanayokuja. na kuongeza pia umakini ktk kuhusiana na wengne. KWANI WEWE UMEJIFUNZA NINI?Lengo hasa ni nini hapa?
Zinasemwa lakini sidhani. Analaumiwa tu kwa kumtekeleza Che, hadi Che akaanza kuhangaika kutafuta mapinduzi mengine Congo na Bolivia alikofia.Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara
Aaahhh mkuuu hebu tutoe tongo tongoCastro alichukua uchawi kwa laurent kabila WA kongo
kwani sialiamua kuachia ngazi mwenyewe cheo laichopewa au palikuwa na shinikizoZinasemwa lakini sidhani. Analaumiwa tu kwa kumtekeleza Che, hadi Che akaanza kuhangaika kutafuta mapinduzi mengine Congo na Bolivia alikofia.
Wanasema pia wale 12 alioanza nao mapambano Sierra Maestra walikufa vifo vya ajabu ajabu akiwemo Commandate Camillo Cienfuegos. Aliyeishi hadi kufikia umri mkubwa miongoni mwa hao 12 ni Juan Almeida Bosch.kwani sialiamua kuachia ngazi mwenyewe cheo laichopewa au palikuwa na shinikizo
then Castro anahusishwa pia na kifo cha aliyekuwa mkuu wa majeshi wa taifa lake amabaye alikufa kwa ajali ya ndege
naam Jamaa alikuwa ni jasusi haswaaa yule niwazi alijaribu kuwamaliza wenzake kwaajili ykuogopa mapinduzi hpo baadae ...ddaah dunia hii kweli INA mamboWanasema pia wale 12 alioanza nao mapambano Sierra Maestra walikufa vifo vya ajabu ajabu akiwemo Commandate Camillo Cienfuegos. Aliyeishi hadi kufikia umri mkubwa miongoni mwa hao 12 ni Juan Almeida Bosch.
Mzee wa "Fly to KIA" ndo atakuwa wa kwanza kufa....Sasa si wamtume huyo MARITA LORENZ aje na huku Tz. [emoji2] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Duuu hili ni geni kwangu ,hizi taarifa umepata wapi na mimi nikazisome ?Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara