Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara
Niliangalia documentary al jazilaDuuu hili ni geni kwangu ,hizi taarifa umepata wapi na mimi nikazisome ?
Mimi nimeona documentary al jazilaWamekudanganya
Huyu camilo alimpa mbegu mke wa comando......aliyetokea huku znz...na baadae kusukiwa mpango wa kumuondoa ila alishtuka katelezea Msumbiji.....huko aliona akazaa na kufa huko huko.Wanasema pia wale 12 alioanza nao mapambano Sierra Maestra walikufa vifo vya ajabu ajabu akiwemo Commandate Camillo Cienfuegos. Aliyeishi hadi kufikia umri mkubwa miongoni mwa hao 12 ni Juan Almeida Bosch.
KumbeHuyu camilo alimpa mbegu mke wa comando......aliyetokea huku znz...na baadae kusukiwa mpango wa kumuondoa ila alishtuka katelezea Msumbiji.....huko aliona akazaa na kufa huko huko.
Kuna mengi ya kimya kimya...
Sio kweli, hakushiriki ktk kumuua Ernesto.Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara
Ernesto alikua na damu ya kimapinduzi, alichukia uonevu na ugandamizwaji wa watu wanyonge kutoka mataifa makubwa,Zinasemwa lakini sidhani. Analaumiwa tu kwa kumtekeleza Che, hadi Che akaanza kuhangaika kutafuta mapinduzi mengine Congo na Bolivia alikofia.
[emoji122][emoji122][emoji122]Che alimkera sana Fidel alipojiuzulu uwaziri na uraia wa Cuba lakini bado alimpenda sana CIA walifankiwa kumkamata kwenye mapambano ya msituni Bolivia na baadae kumuua. Fidel alilia sana na kujilaumu kwanini alishindwa kumlinda.....
AlimsalitiSio kweli, hakushiriki ktk kumuua Ernesto.
nani kasemaAlimsaliti
Aljazeera tvnani kasema
hahaha sawa.Aljazeera tv
Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara
Hili sidhani kama ni kweli; Fidel afanye deal na CIA? Hope humfahamu vizuri huyu mtu, kama CIA wangepata walau dakika 5 tu za kukaa na Fidel, then hizo hizo 5 zingetosha kabisa kumfanya Fidel awe maiti.Ninachosikitika Mimi ni Castro kumsaliti na kushirikiana na CIA kumuua che Guevara