MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
Which is which?"Tukiwa chumbani walikuja watu usiku, walikuwa wanagonga kwa nguvu sana na hawakusubiri kufunguliwa walitumia njia zao wakaingia ndani ilikuwa ni saa 10 jioni. Walivyoingia Lengai akauliza ni nini na ni nani nyie, wakajibu wakasema ni askari wakatuamuru tukae sehemu moja,
Ilikua usiku au ilikua saa 10 jioni?