Which is which?"Tukiwa chumbani walikuja watu usiku, walikuwa wanagonga kwa nguvu sana na hawakusubiri kufunguliwa walitumia njia zao wakaingia ndani ilikuwa ni saa 10 jioni. Walivyoingia Lengai akauliza ni nini na ni nani nyie, wakajibu wakasema ni askari wakatuamuru tukae sehemu moja,
Zile zile mbinu za MICHONGO za Sabaya alizowapa kina Kingai kimzibiti mzee Mbowe Hai na kwenye kesi waliotengeza, ndio hizo hizo anajaribu kuzitumia kujitetea.My Take: Bwana ndogo anahangaika kweli kweli na hizi kesi zake mara baada ya mahakama kuthibisha ana kesi ya kujibu,nakumbuka wakati anaomba apunguziwe adhabu katika hukumu alidai hajaoa na anatarajiwa kufunga ndoa ana mchumba. Kumbe alikua na jiko tayari.β@β&β¬.
Ukipitia mahojiano ya mawakili na shahidi ambaye ndiye βmke wakeβ yanatia sintofahamu lukuki utafikiri si mumewe ama kaokotwa tu kuja kuunga unga mahakamani.
πππTuwekee picha ya mke wake kwanza. Hayo mengine Watajuana wao kwa wao.
AnajikanyagaWhich is which?
Ilikua usiku au ilikua saa 10 jioni?
Dada mjanja sana, anahalalisha ndoa yake mahakani kabisa ili arithi mav8 na mali za JAMBAZI. Nimemuelewa sana ila ushaidi sioni kama alikua makini kumtetea.Mke wa sabaya ina maana alioa akiwa tayari gerezani....
π€£π€£kumbeDada mjanja sana, anahalalisha ndoa yake mahakani kabisa ili arithi mav8 na mali za JAMBAZI. Nimemuelewa sana ila ushaidi sioni kama alikua makini kumtetea.
Anajikanyaga
Mke wa sabaya ina maana alioa akiwa tayari gerezani....
Jesca anachotaka aonekane ni mke halali wa Jambazi, ili akarithi mali.. mengine yote hajali . Anajua huyo kama kufungwa au kuwa huru ni uwamuzi tu wa chama dola CCM.Which is which?
Ilikua usiku au ilikua saa 10 jioni?
Wasituchoshe, wote majambazi, serikali na huyo Sabaya wao.π€£π€£kumbe
[emoji851][emoji851][emoji851] sa angevaa uRC kwa 10 yrs si angekuwa na yard kama ya mayweatherAlijipimia kwa urefu wa kamba yake akanunua V8.
Hapana.hii hapa au View attachment 2086090
Kaaya pia ni WAMERUHuyu sio.
Jesca kaaya ni mtoto wa kimeru black hivi.
Ishaisha hiyooo[emoji851][emoji851]Akihojiwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Ofmed Mtenga shahidi huyo alidai kuwa wana magari mawili ambayo yote ni Land Cruiser VX V8 yote yanashikiliwa Takukuru
Which is which?
Ilikua usiku au ilikua saa 10 jioni?
hii hapa au View attachment 2086090
Naomba namba ya huyu mjanehii hapa au View attachment 2086090
Kiswahili kibovu sana! Mahali maana yake ni sehemu, mtajua lini nyinyi watu tafauti ya ri na li?Huyu si alilipiwa mahali na mchumba wake Sabaya aliomba mahakama akafunge ndoa kabla ya kuanza kutumikia kifungo! Hiyo ndoa ilifungwa lini?
Maccm yote mahongo tuSasa kama walishafunga ndoa 2018, ule utetezi wa Sabaya kwamba ana mchumba bado hajaoa ulikuwa ni uongo? Akafunguliwe kesi nyingine ya kudanganya mahakama
Ikawa usiku ikawa jioni siku ya kwanza ya jumaWhich is which?
Ilikua usiku au ilikua saa 10 jioni?