Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

View attachment 395404re

Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.

Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe

TFDA mpo wapi?
Huyu atakuwa sana sana kafika form four na alipata daraja 0,kujichubua ni kutojiamini,na hii ni kwa wanawake wengi wasio na elimu,wao wanataka waonekane waarabu na wanaamini ukiwa mweupe basi ndio unakuwa mrembo,habari iwafikie mashakumpe wote wa mjini,weupe fake ni majanga kwenu,mnaikaribisha kansa.
 
Fella kuna siku alisem anapenda sana kula kula hadi mke wake anajua hilo ndio maana anapika pika. So ki ufupi fella na mkewe wanajiaribu, mwanaume ananenepa mwanamke anajichubua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jukumu la mamlaka na wameshalisikia sasa walifanyie kazi
 
Kama kila binadamu wana jua madhara ya vitu wanavyo tumia basi hamna haja ya kuwa na TFDA kwasababu wana pokea mishahara ya walipa kodi Pasipo kufanya kazi!!
Huelewi! Yaani were huna tofauti na watu wanaosemaga kaniambukiza ukimwi kwa makusudi wakati hajabakwa!
 
AnauzAnauza dawa za kuwa mzungu 😂😂😂
 
Wanawake bhana unapaka hayo madude unakuwa na ngozi ka gwanda la jeshi,kama yule amba nani sijui..takoo lina rangi mbili..!!imbombo nkafu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…