TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

Watoto watatu, Maryam, Ali na Ahmed. Mmoja ni Dr of medicine.

Inasemekana na Angella Jasmine Kairuki ni mtoto wa nje, na ndio maana haishangazi ni miongoni mwa watu wa kwanza kufika msibani
IMG_4887.JPG
 
Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!

Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall

Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Babu shkamoo
 
Hata mimi nimeshangaa.
Mnamchukulia poa Pohamba kwa sababu ya aina ya uchangiaje wake.
Huyu Mzee hapendi kuzeeka kabisa, anaenda sawa na Vijana. Mambo ya kujikalia na Wazee kupiga
stori za kiama, kuhudhuria misiba na kutatua matatizo ya mtaani nk yanazeesha haraka.
 
Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.

Poleni sana Mama Mkwe umeniacha jamani!! nilikupenda sana mara zote bila kukosa ucheshi wako sinta sahau,

ILa Mariam Salim nitafute tumetoka mbali rudisha moyo nyuma angalia mama yetu mpendwa kaondoka bila uwepo wangu haya yote ajili yako!! na bila yeye nisingekupata. Naomba tena rudisha moyo nyuma ili tuwe kitu kimoja. Naomba! unifikirie upya!!

Hkn njia rahisi ya kukupata wewe tokana na nafasi yako ilivo ngumu matukio yanakuja na kupita hata sisi tutapita! je ungependa tuandike historia gani? Nakuomba sana!!!
 
Poleni sana Mama Mkwe umeniacha jamani!! nilikupenda sana mara zote bila kukosa ucheshi wako sinta sahau,

ILa Mariam Salim nitafute tumetoka mbali rudisha moyo nyuma angalia mama yetu mpendwa kaondoka bila uwepo wangu haya yote ajili yako!! na bila yeye nisingekupata. Naomba tena rudisha moyo nyuma ili tuwe kitu kimoja. Naomba! unifikirie upya!!

Hkn njia rahisi ya kukupata wewe tokana na nafasi yako ilivo ngumu matukio yanakuja na kupita hata sisi tutapita! je ungependa tuandike historia gani? Nakuomba sana!!!

Broo kwema?
 
Majuzi hapa Dr Salim alikua anaumwa huyu mama ndio alimuuguza...Sasa mama katangulia inahuzunisha sana.Lakini yote kwa yote sisi sote njia yetu moja hii ya kifo hatuwezi epukana.
 
Kuna trend Fulani hivi, kwa wazee Kama Hawa mmoja akitangulia huwa mwingine nae Ana muda mfupi atamfuata.
Siombei lakini.
Ni kweli, na ukizingatia Mzee naye afya si nzuri, jambo kama hili huwakatisha tamaa wenza, nao hufuata punde.
 
Maisha haya..
Yaani sisi wanadamu wote,hatima yetu ni mbaya tu,,bora tungeumbwa kuishi milele....
 
Hakika watu wazuri na wenye roho safi nzuri kama huyu mzee!! Salim Ahmed Salimu na mkewe hawa watu wasingekufa jamani duuu!!! hata Mariamu ni mimi nilijifanya mkorofi tu!!! si unajua minyota yetu watu wa dizaini zetu ni kiburi kwa kwenda mbere!

sijui yuko wapi Maskini yule dada/ mama. any way najua hataki kunisikiliza huenda amesha nitoa moyoni lkn mimi bado but niko South by now! ila wema wa Mzee wako sintousahau asingekuw yeye huenda nisingekuwa hivi. naomba sana wanangu wawe hivi hivi!
 
Back
Top Bottom