Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Watoto watatu, Maryam, Ali na Ahmed. Mmoja ni Dr of medicine.
Sio kila ukiambia neno lazima ujibu wewe mbigiriPovu la nini we mbugila
Hapo ni typing error
Ova
Babu shkamooNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Apumzike panapostahiliKwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Mnamchukulia poa Pohamba kwa sababu ya aina ya uchangiaje wake.Hata mimi nimeshangaa.
Poleni sana Mama Mkwe umeniacha jamani!! nilikupenda sana mara zote bila kukosa ucheshi wako sinta sahau,Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Poleni sana Mama Mkwe umeniacha jamani!! nilikupenda sana mara zote bila kukosa ucheshi wako sinta sahau,
ILa Mariam Salim nitafute tumetoka mbali rudisha moyo nyuma angalia mama yetu mpendwa kaondoka bila uwepo wangu haya yote ajili yako!! na bila yeye nisingekupata. Naomba tena rudisha moyo nyuma ili tuwe kitu kimoja. Naomba! unifikirie upya!!
Hkn njia rahisi ya kukupata wewe tokana na nafasi yako ilivo ngumu matukio yanakuja na kupita hata sisi tutapita! je ungependa tuandike historia gani? Nakuomba sana!!!
Ni kweli, na ukizingatia Mzee naye afya si nzuri, jambo kama hili huwakatisha tamaa wenza, nao hufuata punde.Kuna trend Fulani hivi, kwa wazee Kama Hawa mmoja akitangulia huwa mwingine nae Ana muda mfupi atamfuata.
Siombei lakini.
Mtoto wa nje wa nani? Kama ni wa Salim ni uongo, na angekaa na wanawake wenzake kama mwana familia sio kama mgeni mpita njia.Inasemekana na Angella Jasmine Kairuki ni mtoto wa nje, na ndio maana haishangazi ni miongoni mwa watu wa kwanza kufika msibaniView attachment 1606507