Ama kweli ni kipi kilicho bora kuliko pesa? Wengine wakisema pesa ni sabuni ya roho.
Hizi si ndiyo chimbuko la tozo? Ndiyo chimbuko la kung'angania madaraka? Chimbuko la wizi wa kura? Chimbuko la kukataa katiba mpya?
Hawa ni wa Ukraine mbona hata kwetu ni hivi hivi?
Hapa mke wa mbunge mmoja wa zamani wa huko amevuka na kitita cha zaidi ya $28m cash.
Kwa kazi zipi wapendwa wanaweza kujikusanyia ukwasi kama huu yumkini wawapo madarakani?
Uzoefu umeonyesha neno uzalendo ni mahsusi kabisa kuhalalisha wizi wao. Hamna lolote.
Yumkini ndiyo sababu kiapo ni kutokutoa siri unazoweza kutokea kuzijua uwapo huko.
Kulikoni siri wakati nchi wenyewe ni sisi?
Si huko au huku, wote ni baba mmoja mama mmoja.
Mijizi mitupu!
Hizi si ndiyo chimbuko la tozo? Ndiyo chimbuko la kung'angania madaraka? Chimbuko la wizi wa kura? Chimbuko la kukataa katiba mpya?
Hawa ni wa Ukraine mbona hata kwetu ni hivi hivi?
Hapa mke wa mbunge mmoja wa zamani wa huko amevuka na kitita cha zaidi ya $28m cash.
Kwa kazi zipi wapendwa wanaweza kujikusanyia ukwasi kama huu yumkini wawapo madarakani?
Uzoefu umeonyesha neno uzalendo ni mahsusi kabisa kuhalalisha wizi wao. Hamna lolote.
Yumkini ndiyo sababu kiapo ni kutokutoa siri unazoweza kutokea kuzijua uwapo huko.
Kulikoni siri wakati nchi wenyewe ni sisi?
Si huko au huku, wote ni baba mmoja mama mmoja.
Mijizi mitupu!