Mke wa Waziri Mkuu wa zamani wa Ukraine adaiwa kujaribu kutorosha mamilioni ya dola

Mke wa Waziri Mkuu wa zamani wa Ukraine adaiwa kujaribu kutorosha mamilioni ya dola

Mke wa waziri mkuu wa zamani kichwa cha habari alafu habari mke wa zamani wa waziri mkuu kipi ni sahihi tuelewe
We mwenyewe umerudia kukosea! Soma ulichoandika! Kukosea kupo wala usihukumu usijeukahukumiwa!
 
We mwenyewe umerudia kukosea! Soma ulichoandika! Kukosea kupo wala usihukumu usijeukahukumiwa!

Wanasema nyani haoni kundule.

Hawajikiti kwenye mada bali kwenye viroja. Ndimi kutereza ni kwao tu si kwa wengine.

Vibanzi huona kwenye macho ya wenzao ila si boriti machoni mwao.
 
Unapitishaje mzigo Kama huo kizembe hivyo..?
Hajua Kama sikuhizi kuna fedha mtandao! Ila dah! Waliomkamata nao wanamoyo na shida nilizonazo hizi nisile miburungutu minono hivyo..😀

Yaonesha kaambiwa Ku declare tu. Haupo ushahidi wa kukamatwa wala kupokonywa.
 
Tupe source ya habari hii! Credible one!

Ninakusoma hapa:

IMG_20220321_074419_444.jpg


Tokea uzi huu:

Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi

Pia hapa:

IMG_20220321_074444_024.jpg


Tokea uzi huu:

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Wewe na waungaji wako hao mkono, si huwa mnaamini channel ten, TBC, Uhuru, Mzalendo, magazeti ya Musiba na vya namna hiyo pekee?
 
ningezikatia hizo ni mwendo wa totoz+whisky au vineyard wine until my last breath
 
Back
Top Bottom