We mwenyewe umerudia kukosea! Soma ulichoandika! Kukosea kupo wala usihukumu usijeukahukumiwa!Mke wa waziri mkuu wa zamani kichwa cha habari alafu habari mke wa zamani wa waziri mkuu kipi ni sahihi tuelewe
We mwenyewe umerudia kukosea! Soma ulichoandika! Kukosea kupo wala usihukumu usijeukahukumiwa!
Unapitishaje mzigo Kama huo kizembe hivyo..?
Hajua Kama sikuhizi kuna fedha mtandao! Ila dah! Waliomkamata nao wanamoyo na shida nilizonazo hizi nisile miburungutu minono hivyo..๐
Tupe source ya habari hii! Credible one!
Vile MaCCM yamemind yalivyoona neno 'katiba mpya' kwenye uzi wako๐๐๐
View attachment 2158789
mpaka sasa raia wa ukraine nawaona ni MAZEZETA
Duh.. mbona umeamua kujitesa bure.Ninakusoma hapa:
View attachment 2158807
Tokea uzi huu:
Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi
Pia hapa:
View attachment 2158809
Tokea uzi huu:
Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!
Wewe na waungaji wako hao mkono, si huwa mnaamini channel ten, TBC, Uhuru, Mzalendo, magazeti ya Musiba na vya namna hiyo pekee?
Duh.. mbona umeamua kujitesa bure.