Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
ndo unanijuza hivi..
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo unanijuza hivi..
Basi shemeji ana bahati kubwa sana, na yapaswa aitumie! Sijui analijua hilo?
Hutoumia ukiskia mmeo anachepuka?
Kazi ipo jukwaa hili jamani na nawasalimu wote jamani.
Yepi hayoooowala hata kidogo nitampa masharti yangu tu mepesi alafu aendeleeee
nimezipokea kwa niaba na nimeziweka katikakti ya miguu yangu ... ubarikiwe amina
wala hata kidogo nitampa masharti yangu tu mepesi alafu aendeleeee
1, pesa ya matumizi kwa mwezi isiyopungua laki 5.
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
Kweli binadamu tumeumbwa tofauti.Wengine mioyo ya nyama myepesi kupondeka.
Ahahaha wako ana kidudu ndo maana hupati wivu...huyu ex wa umukagame ana dudu!!!
miss chagga, Kuchunguza chunguza simu ya mwenza wako inasababishwa na mambo mengi mfano wivu, mimi binafsi siwezi chunguza simu ya mwenza wangu na hata yangu sitaki aguse.Nimeweka PW sehemu muhimu km SMS,WHTSP,GALLERY na MEMO maana ndo sehemu zangu nyeti katika simu.
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
Ndoa majanga tu kanipigia huyo x wangu nkamwambia y anafanya mambo ya ajabu y kumuumiza mkewe kanijibu ndoa ishamshinda hawezi yupo anafanya maandalizi ajitenge nae kila mtu aishi kivyake,,,ndoa ya muaka mmoja hahaha kazi kwel
1, pesa ya matumizi kwa mwezi isiyopungua laki 5.
2. ikifika sa sita ajarudi alale huko huko.
3.akitaka mgegedo lazima tumipe ukimwi kila mara