Mke wa x wangu

Mke wa x wangu

Hakuna mwanaume wa peke ako watu tunashindwaga tu kukubali ukweli, Maji kayavulia nguo ayaoge kwani hakuyaona hayo kabla ya ndoa????? ndo wake huyo amuombee Mungu ambadilishe.

Siyo kweli kabisaaaaaa!!!!!!!!
 
miss chagga hope wewe bado hujaolewa ndo maana unaujasiri wa kusema hivyo,siku ukiolewa au ukiwa kwenye strong relationship ndo utajua kama kuna umuhimu wa kufyokonyoa sim au hamna.

sawa mama ila siwezi fyokonyoa mama yangu naogopa pressure
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
Uliyoyasema yametoka moyoni mwako mkuu?
 
Poleni wa Mjini, mwombe huyo dada ahamie huku bush maana town "kwa mtu mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani"
 
husika tu hapo kiukweli natafuta hela ili wanangu waishi kwa raha kama mwanaume ameamua kuchepuka aende nitamuuliza baba fulani huyo mchepuko wako nikiwa kaburini ataweza lea wenetu kama hapana baba naomba space ya kukuza wanangu huku ukiendelea kuchepuka vizuri hela ya matumizi ya mtoto weka hapo mi naweza jihudumia baba haya baba vaa sketi sahahu boxer nenda...

Hahahahahaha, naisi hujaolewa ndo maana unasema ivo, unaujua uchungu wa mume wewe?
 
Shikamoo wakuu,

Basi jana nikiwa nmejilaza kitandani kwangu naperuzi jukwaa la siasa humu si ghafla ikaingia text whatsup kuchek namba geni(imeandikwa nakusalimia tu,nikajibu asante nani lakini" kanijibu me mke wa nokia8 (he was my boy friend tulipokuwa chuo huyo nokia8) tukachana yeye akaoa mwaka jana bonge la harusi na mie nilienda cheza kwaito sana)mke wa nokia 8.

Najua ushawahi date na nokia 8 ina maana hamkuachana?

Mi nikamuliza kivipi sikuelewi?

Akanijibu nimeona chating zenu whatsup means mnakumbushiaga...

Me nikamwambia kama umeona chating kila kitu chajieleza mumeo ndiye anantaka me simuhitaji naheshimu ndoa yenu,nakupenda siwezi fanya hivyo mwambie mumeo aache kunisumbua"

Yule dada akanpigia simu

Nikapokea akaanza aisee kama mume nimepata sijui kama naweza"inavyoonekana huyo mke wa x wangu aliona mengi katika simu ya mumewe,mie nilichomwambia ndoa yenu ni changa sana kumbuka uliyoahidi kanisani siku ile,ukae utulie akanijibu siwezi!

Basi for sure nIlifili vibaya sana yani kama vile ndo mie yamenkuta alafu mie nikamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku siyo zako kwa presha,,hakunijibu

Sasa nyie wanaume niwaulize hivi mnakuaga mnalazimishwa kuoa?

Kabinti ka watu ndo kwanza kadogo kukaliza kila siku kama ulikuwa hujamaliza kuchovya hilo dunguso lako why uoe?

Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo.


UMUKAGAME introducing new Vocabulary DUNGUSO. Kwahiyo huku papuchi huku Dunguso, hapo ngoma droo dadadadadeeeekiii!!
 
Back
Top Bottom