Mke wa x wangu

miss chagga, Kuchunguza chunguza simu ya mwenza wako inasababishwa na mambo mengi mfano wivu, mimi binafsi siwezi chunguza simu ya mwenza wangu na hata yangu sitaki aguse.Nimeweka PW sehemu muhimu km SMS,WHTSP,GALLERY na MEMO maana ndo sehemu zangu nyeti katika simu.
 
Last edited by a moderator:
Tumeumbwa kukinai vitu tunavyokuwa navyo mda mrefu , kutumia mara kwa mara , au kula mara nyingi! Lakini ndoa jamani haina "Final Exam" , yatubidi Tuendeleze upendo ule ule wa Uchumba hadi ndani ya ndoa ili tusichokane.
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

Ahahaha wako ana kidudu ndo maana hupati wivu...huyu ex wa umukagame ana dudu!!!
 

simu ni personal assets yani kuchunguza simu ya mwenzio mi naona ni sawa kumtia mwanume kidole au dudu kwenye m.k.ndu yani nachukia hii tabia kwa moyo wanguwote.... bwana simu ni kitu cha kuheshimu sana
 
Ndoa majanga tu kanipigia huyo x wangu nkamwambia y anafanya mambo ya ajabu y kumuumiza mkewe kanijibu ndoa ishamshinda hawezi yupo anafanya maandalizi ajitenge nae kila mtu aishi kivyake,,,ndoa ya muaka mmoja hahaha kazi kwel
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

Aisee inafaa NIKUWOWE we mtoto.
 
Ndoa majanga tu kanipigia huyo x wangu nkamwambia y anafanya mambo ya ajabu y kumuumiza mkewe kanijibu ndoa ishamshinda hawezi yupo anafanya maandalizi ajitenge nae kila mtu aishi kivyake,,,ndoa ya muaka mmoja hahaha kazi kwel

Mbona kama unaoneka umefurahi jamaa akijitenga na mke wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…