Mke wa zamani wa Bilionea Bill Gates kwenye mahusiano mapya

Mke wa zamani wa Bilionea Bill Gates kwenye mahusiano mapya

Wanawake hawaeleweki na hawatosheki.

Watu wanasema wanawake wanapenda mwanaume mcheshi ndiyo mapenzi yatadumu, mbona Masanja Mkandamizaji pamoja na ucheshi wake wote lakini kachapiwa?
Yaani mwanamke atoke kwa Baba ucheshi wa mwanaume ndiyo anao ufuata? Embu acha utani kwenye ndoa hivyo vitu huwa huwa ni chachandu kama hoho carrots kinachowapeleka kinajulikana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapokuwa tajiri sana na mtumwa wa hela, unakuwa busy sana, ratiba iko tight kinoma, huna muda wa ku enjoy wala kula good time na mkeo.
Basi wale vijana makapuku ndio huwa
wanakusaidia kumburudisha mkeo.

Ninakataa kuwa mtumwa wa pesa, pesa zitanitumikia na hazita nitesa.

A
Embu waeleze waelewe vizuri, wengine akiwa na kazi elimu kubwa anajua kamaliza kila kitu anajaza misosi nyumbani mke yupo tu mwenyewe mwenyewe mpaka anafafana na ukuta, unazani ataacha kutafuta kichocho!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuelezane ukweli [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
255657643088_status_5d6398745f5c4b309dbb15144040f59d_1.jpg
 
Ila wazungu bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!! Uzee huo Bado anatafuta bwana [emoji16] so saad
Hana Hisia au Roho. Subiri ufike Uzeeni ndio usemee hapo. Utakuwa haufeel kupendwa au kupenda?
 
So sad nini? Ulitaka akae mpweke kama bibi ako kijijini?

Yeye sio mtu? Hahitaji kampani? Au mnadhani mapenzi ni kutiana tu?

Tena kwa huo umri anahitaji mtu wa kupeana kampani, kuongea, moral support. Watoto wameshakuwa wakubwa wameondoka. Nyumbani umebaki peke yako.

Utakaa kama jini ufe kwa mawazo na stress?
Bora umesema ukweli. Huo ni umri wa upweke mnooo, bora kajipatia mzee mwenzie waliwazane.
 
Ewaa hapo sawa kampani ya kuongea nayo,ushauri n.k mmekuelewa Sasa![emoji38][emoji38]
Binadamu tunahitaji partners wa kuishi nao.

Ndo maana ndoa zina ugomvi kila kukicha ila bado wanapeana misamaha na kuendela na maisha.
 
Back
Top Bottom