Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Acha wabaki na pesa zao, wacha wanao penda Upendo wakautafute kwingine.Tunaambiwa eti tutafute pesa. Wenye pesa wenyewe wanaachwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wabaki na pesa zao, wacha wanao penda Upendo wakautafute kwingine.Tunaambiwa eti tutafute pesa. Wenye pesa wenyewe wanaachwa.
Yaani mwanamke atoke kwa Baba ucheshi wa mwanaume ndiyo anao ufuata? Embu acha utani kwenye ndoa hivyo vitu huwa huwa ni chachandu kama hoho carrots kinachowapeleka kinajulikana mkuu.Wanawake hawaeleweki na hawatosheki.
Watu wanasema wanawake wanapenda mwanaume mcheshi ndiyo mapenzi yatadumu, mbona Masanja Mkandamizaji pamoja na ucheshi wake wote lakini kachapiwa?
Haya ndio maneno bwana...wanawake wanafuata de liboloYaani mwanamke atoke kwa Baba ucheshi wa mwanaume ndiyo anao ufuata? Embu acha utani kwenye ndoa hivyo vitu huwa huwa ni chachandu kama hoho carrots kinachowapeleka kinajulikana mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu waeleze waelewe vizuri, wengine akiwa na kazi elimu kubwa anajua kamaliza kila kitu anajaza misosi nyumbani mke yupo tu mwenyewe mwenyewe mpaka anafafana na ukuta, unazani ataacha kutafuta kichocho!!Unapokuwa tajiri sana na mtumwa wa hela, unakuwa busy sana, ratiba iko tight kinoma, huna muda wa ku enjoy wala kula good time na mkeo.
Basi wale vijana makapuku ndio huwa
wanakusaidia kumburudisha mkeo.
Ninakataa kuwa mtumwa wa pesa, pesa zitanitumikia na hazita nitesa.
A
Kakwambia nani ?Kaah..hapana bwana nyege za uzeeni tena[emoji16][emoji16][emoji16]sidhani km wanafeeel chochote...mwanamke tena jamani[emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1]
Sasa kama hana afanyaje, basi mwezeshe ili apunguze vizinga, halafu mbona wapo wanaojielewa! Msitudharau kiasi hicho jamani.Tofaut na bongo, Majimama yamejaa dhiki full vizinga eg. Kodi, saloon, kitchen party, harusi, kusuka, bundle.
Tuelezane ukweli [emoji3][emoji3][emoji3]Haya ndio maneno bwana...wanawake wanafuata de libolo
😅😅😅Ile kitu hainaga makombo mzee we ukiiacha mwingine anaokota
AsanteTena hamna makombo matamu kama ya tajiri. Maana kadri ya wingi pesa ulizonazo ndivyo hivyo upungufu wa utendaji katika kuchakata papuchi. Inakuwa kinanda kabisa.
Aroo!Kwani mbususu yenye mvi haina genye🤣🤣🤣🤣
Hana Hisia au Roho. Subiri ufike Uzeeni ndio usemee hapo. Utakuwa haufeel kupendwa au kupenda?Ila wazungu bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!! Uzee huo Bado anatafuta bwana [emoji16] so saad
Bora umesema ukweli. Huo ni umri wa upweke mnooo, bora kajipatia mzee mwenzie waliwazane.So sad nini? Ulitaka akae mpweke kama bibi ako kijijini?
Yeye sio mtu? Hahitaji kampani? Au mnadhani mapenzi ni kutiana tu?
Tena kwa huo umri anahitaji mtu wa kupeana kampani, kuongea, moral support. Watoto wameshakuwa wakubwa wameondoka. Nyumbani umebaki peke yako.
Utakaa kama jini ufe kwa mawazo na stress?
Rey nyege hazina uzungu wala uzeeIla wazungu bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!! Uzee huo Bado anatafuta bwana [emoji16] so saad
Binadamu tunahitaji partners wa kuishi nao.Ewaa hapo sawa kampani ya kuongea nayo,ushauri n.k mmekuelewa Sasa![emoji38][emoji38]
Unajua unachokiongea au umekurupuka?Tunaambiwa eti tutafute pesa. Wenye pesa wenyewe wanaachwa.
Mzee acha ujuajiWanawake wanataka mtu mwenye sense of humor and not a comedian. Masanja is a comedian