Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Kabisa yn maaana hawaeleweki kbs๐๐๐mkuu unahisi sio mbavu zako zilizotoa hicho kiumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yn maaana hawaeleweki kbs๐๐๐mkuu unahisi sio mbavu zako zilizotoa hicho kiumbe
kuna wenye akili basiUkipata mwanamke asie na akili kama huyu mbona utajuta
Mhh huyo ni kunguru hafugiki...Dah..!! Watakatifu wanaachwa, wa michepuko nao wanaachwa. Hivi wanawake sasa mnataka nini??
Eti dada To yeye, Bantu Lady, shemela Evelyn Salt, mtani Kalpana et el, mnataka nini sasa?
Mkuu we shikilia hapohapo unapoamini wewe. Wapo walioeleweka na wapo hawakueleweka bado kiliwakuta kitu.You must have your own identity
Kwa nini unasema tusieleweke, kama yeye haeleweki apite hivi.
Kueleweka ndio kujitambua ndugu.
Unakua una feel aje ukiona hatamaniwi? Ndio hayahaya ya mke wa KakaIla jaman tuseme ukweli ukiona mwanaume wako anatamaniwa na mwingine kuna raha nyie,
Kuna sehem tulienda na G ,mdada akawa anamtaman anamuangalia mpaka akasogelea karibu yetu anamuangalia na wala hanionei haya mim kabisa nilijisikia raha na usiku nilitoa yote ๐๐๐
Ndio maana nikasema hayana formula. Halafu sijasema uchepuke rudia kusoma vizuriYaani ubadili mienendo yako mema kwa Mungu kisa shetani mmoja? NO WAY!!
Mimi sitaki Mwanamke mlokole sitaki hata kumsikia nataka Mwanamke amsha amsha anisumbue sumbue na mambo mengine mengine sio kunisumbua na neno la Mungu, mara mkesha wa nini sijui mara sijui nini Safari za ajabu ajabu na wanakwaya wenzie piga chini kivuruge nifuate tuvurugane Maisha yaendeleeWanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.
Mwanamke huwa hajui anataka nini.Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka.
Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na kunipa familia inayopendeza, ila sikuwa na furaha, niliona kuna kitu kinakosekana. Tatizo kubwa ni kwamba Kaka alikuwa mkamilifu (mwema) sana kwangu".
Mchezaji wa zamani wa Brazil, AC Milan na Real Madrid, na mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2002, Ricardo Kaka alikuwa mlokole aliyempenda sana Yesu na kuishi maisha mema. Kaka hakuwa na drama kwa mke wake wala kashfa yoyote ya kuwa na kamchepuko huko nje. Sasa hapo inakuja mambo ya 50/50.
My take: Wanaume wakamilifu katika uchumba na ndoa wanasalitiwa sana na wake zao/ wachumba zao. Inaonekana wanawake wanadumu zaidi kwenye mahusiano ya kiuonevu ( toxic relationships) kuliko mahusiano yaliyotulia ( stable relationships). Wanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.
Unakuwa na mtu hana mvuto ,mi akitamaniwa hivyo hamu inazidi kuongezeka juu yakeUnakua una feel aje ukiona hatamaniwi? Ndio hayahaya ya mke wa Kaka
Ndio hivyo wahuni ndio wanapita na wanawake wazuri wote duniani kila unapomuona Mwanamke mzuri jua nyuma kuna muhuni mmoja ametulia anafanya yakeMwanamke aliye kamili hupenda janaume huni huni ivi
Haya someni wenyewe maneno yaoUnakuwa na mtu hana mvuto ,mi akitamaniwa hivyo hamu inazidi kuongezeka juu yake
Unakuwa unasema kumbe nna kitu kikali eee maana mkizoeana mnakuwa mnaonana kawaida tu ๐๐๐ heka heka kidogo ziwepo kuchangamsha akili
Hao kweli ubuntu Botho ๐Kuna mdada alinambia eti ye na mme kabla hawajanjunjana wanasali kwanza, sasa ukisali kuna kuzama chumvini kweli? Na mambo mengine mchanganyiko???๐
Mkiambiwa mnapenda competition mnabishaga. Mwanamke bila kumpa wonders hakuchukulii serious. Juzi nimefumaniwa chimbo langu la JF.Ila jaman tuseme ukweli ukiona mwanaume wako anatamaniwa na mwingine kuna raha nyie,
Kuna sehem tulienda na G ,mdada akawa anamtaman anamuangalia mpaka akasogelea karibu yetu anamuangalia na wala hanionei haya mim kabisa nilijisikia raha na usiku nilitoa yote ๐๐๐
Mwendo wa mvurugano ndio wanapenda hivyo sasa we umepoa tu humpi stress hapo kidogo aone hapa napambania kombeMwanamke akishajua yuko peke yake kwako anaanza kuwaza kwamba usikute hapa nimeingia choo cha kike, mbona hamna mtu mwingine anaelitaka hili jamaa? Ila akiona una mishemishe nyingi, mara vimeseji, simu, nk anajua yes.. hapa ndio penyewe!