NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wewe uliooa hujawai hata sikumoja kushika unyayo wa mkeo,alafu kuna kijana katoka Namtumbo msafisha kucha anampapasa mkeo kuanzi nyayo mpaka mwanzo wa mapaja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliooa hujawai hata sikumoja kushika unyayo wa mkeo,alafu kuna kijana katoka Namtumbo msafisha kucha anampapasa mkeo kuanzi nyayo mpaka mwanzo wa mapaja.
HahahahaBadili Tabia, umeanza lini hii tabia?[emoji23][emoji23]
Mmhhh!!!, Twende Pm ni nini??Lol[emoji13]
Kuoshwa miguu ni kilevi kama vile unavyoenda bar kunywa pombe na siyo kunywea nyumbani. Pale mama anaenda kupata starehe asiyoipata nyumbani. chunga saana.Hizo ndio Faida za kuoa mwanamke asijielewa yani mtu kwa akilizako unashidwa kuosha miguu yako ambayo tangu umezaliwa unayo. tena somo lenyewe la jinsi ya kuosha miguu na kupaka rangi unajifunza hata siku mbili haishi umeelewa.kwa mlioa wanawake wasiojiongeza mnatabu sana, binafsi mlioa siwashauli muanze kujifunza kuosha na kupaka rangi miguu bali muwafanye wake zenu waanze Kujielewe na kujitambua. kumbukeni ''KINGA NI BORA KULIKO TIBA'' haya leo unamuosha miguu kwa vile hupo nyumbani....haya je, siku umesafili kikazi nani atamwosha?....... 🏃😎
Sema tangawizi iko kwa mbaliKuna jimama nililiosha miguu lina mipaja mikubwa myeupee baada ya muda nikaligusa ki2mbua kwa utani likaubana mkono usitoke nikatoa gobole nikamtwanga nalo ikawa ndo mchezo hii dunia hadaa
Acha wivu wa kike..kizuri kula na wenzioMimi mke wangu mambo ya kipuuzi kama hayo ya kuoshwa miguu na kupakwa kucha rangi akifanyiwa ndio itakuwa talaka yake.
Mambo mengine yanatokea kwa ujinga wa mwanaume
Deeppond ,,Kila niendapo namkuttaChangamoto sana hii