Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanataka washindane umaarufu na wake zaoKuna watu mnapata shida sana na vitu vidogo dogo tu.Mnapenda kukuza jambo..mm kwangu panatambulika kwa mama masanja maana kuna frem pale na mke wangu ana duka pale kwa hiyo wateja mm hata hawanifaham wamezoea jina la mke wangu mpaka boda boda ukiulizia jina langu ni shida ila ulizia hata vitue vitatu nyuma naenda kwa mama masanja fasta tu unapelekwa bila hata kuelekeza.Kuna vitu mnavipa umuhim lakini ni vidogo sana.Nyumba nyingi mtaani zinatambulika kwa majina ya wanawake maana wao ndo washinda nyumbani.
Nimekukumbukaaaaa....Makiwendo
Jikite kwenye hoja, mambo ya Hati hayana uhusiano na hoja yako kutambulika kama mwenye mji.
Hata waliopanga chumba na seble wanatambulika kama wenye nyumba kwa wakati huo.
Si ndio.Watu Wana complicate Sana Mambo.
Kwa muda huo wewe ni mwenye nyumba mpaka pale mkataba wako utavyoisha au kusitishwaDuuh! Yàani upange alafu uwe mwenye Mji. Hii Kali ya Mwaka
Kwaiyo unatushauri tuanze kushindana kutafuta umaarufu na wake zetu mtaani?
Kwa muda huo wewe ni mwenye nyumba mpaka pale mkataba wako utavyoisha au kusitishwa
Nipo sana tu wewe ndio unanitenga😭😭Nimekukumbukaaaaa....
Ulifichwa wapi?
Mimi mwenyewe naishi kwa shemeji alipopanga hapa Kasulu Mjini na tunatambulika kama wenye mji huoDuuh! Yàani upange alafu uwe mwenye Mji. Hii Kali ya Mwaka
Mimi mwenyewe naishi kwa shemeji alipopanga hapa Kasulu Mjini na tunatambulika kama wenye mji huo
Hahhhaha naona , ila asiwe kausha damu tu😁😁😁😁 kwa sababu hata hiyo damu sina🤪
Mno mkuu😁😁😁 kwa sasa mwambie tu sina hata buku.WA hivi hawawagu Kausha damu. Fanya majukumu yako kama Mwanaume naye Afanye yake kama Mwanamke.
Basi karibu wakwetu...Nipo sana tu wewe ndio unanitenga😭😭
Sasa wewe ukiwaresposible hapo nyumbani watu watajuaje mtaani au utakuwa unaenda kuwasimulia?Ukishakuwa responsible Man and father automatically huo Mtaa lazima wajue Mji Fulani NIwa Mzee Fulani.
Umaarufu unajengwa na mchango wako chanya kwèñye familia yako na Mtaa unaoishi
Asante sana,mbege iwe mbeleBasi karibu wakwetu...
Naaaaam🤣🤣🤣Asante sana,mbege iwe mbele
😁😁😁Naaaaam🤣🤣🤣
Sasa wewe ukiwaresposible hapo nyumbani watu watajuaje mtaani au utakuwa unaenda kuwasimulia?